Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 709
- 919
Mwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;
1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.
2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.
3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.
4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.
Wajinga wote lazima wabadili mawazo wanaweza hata kumsifia Makonda kwa kumpiga Mzee WariobaMwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;
1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.
2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.
3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.
4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.
Ungejua watanzania walivyo na dharau....Mwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;
1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.
2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.
3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.
4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.
Hapa unamvika kilemba ambacho baadae kisije mziba macho!Mwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;
1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.
2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.
3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.
4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.
Mahushurio hayo yanadhihirisha kuwa CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu.Mwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;
1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.
2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.
3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.
4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.
Na mahudhurio ya mikutano ya vyama vya upinzani yanadhihirisha Nini?Mahushurio hayo yanadhihirisha kuwa CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu.