Nilikuwa namchulia poa Sana Burna boy

Nilikuwa namchulia poa Sana Burna boy

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Binafsi sikuwahi kusikiliza wimbo hata 1 ya Burna boy so baada yakuona jamaaa anazungumziwa Sana na Mafanikio anayopata kwenye mziki wake Ikabidi Jana nisikilize wimbo wake hata 1 ilinijidhihilishe jamaa kweli anajua?


Nikaanza na wimbo " Way too big" bonge moja ya track na nyingine nyingi nikagundua jamaa ameibadili game ya Nigeria music kiasi kikubwa ana ubunifu mzuri wa nyimbo zake anastahili kabisa kuwa best male in Africa
 
Binafsi sikuwahi kusikiliza wimbo hata 1 ya Burna boy so baada yakuona jamaaa anazungumziwa Sana na Mafanikio anayopata kwenye mziki wake Ikabidi Jana nisikilize wimbo wake hata 1 ilinijidhihilishe jamaa kweli anajua?


Nikaanza na wimbo " Way too big" bonge moja ya track na nyingine nyingi nikagundua jamaa ameibadili game ya Nigeria music kiasi kikubwa ana ubunifu mzuri wa nyimbo zake anastahili kabisa kuwa best male in Africa
Itafute Album yake Twice As Tall kuna mawe ya maana... Iyo way too big ni moja kati ya ngoma katika iyo album
 
kwani kuna ngoma ya Burna boy inaizidi Ye?
ikifuatiwa na "When the gbedu de enter body"(Gbona)
 
Nilianza kumuelewa burna boy kwenye ngoma yaje ya yawa dey na check and balance kitambi hko nko form 2 sjui form one
 
Nimeanza kumjua jamaa alipotoa nyimbo yake ya Yawa Dey,ila nyimbo yangu kali kutoka kwake ni "YE".
Hiyo Ye nimetoka kusikiliza Sasa hiv sijaikubali kivile labda kwa sababu nimeisikia Mara 1 sijui ila anybody nimeikubali Mara tu nimeipa blue tick
 
Burna boy anasound ya kipekee ila hana ukali huo anaopewa
NB; nnamsikiliza na ananyimbo flan zinazonikosha ila hawezi kuwa top in Africa
 
Binafsi naelewaga magoma ya Patoranking


PantonKing ni neno jingine sema watu hawajamuwakia tu. Binafsi sina hata ngoma moja ya Burna Boy lakini huyu mwamba kila nikisikia ngoma yake lazima nidowload
 
Back
Top Bottom