Nilikuwa namchulia poa Sana Burna boy

Nilikuwa namchulia poa Sana Burna boy

we ni kama mimi,nilikuwa nampuuza nawapa attention kina Wiz Kid na Davido. Ila siku nilipompa nafasi You Tube,alinishawishi sana
 
Burnaboy nimemfaham mwaka 2011/2012 kipindi hicho alitoa wimbo unaitwa Like to Party,utafute huo wimbo aisee jamaa anajua toka kitambo sana sema bahati ilichelewa na hakukata tamaa amekaza mpaka leo ndo yupo kwenye chati ila amepambana tokea kitambo. Huo wimbo mpaka leo kwangu ni moja ya wimbo bora
 
Hiyo Ye nimetoka kusikiliza Sasa hiv sijaikubali kivile labda kwa sababu nimeisikia Mara 1 sijui ila anybody nimeikubali Mara tu nimeipa blue tick
Sikiliza na 'on the low',jamaa ni balaa sana,halafu huyo producer wake asimuache asilani,anampatia sana
 
Mkuu album ya Burna Boy Twice as tall ni kali sanaa aisee,

Way too big

Time flies ft Saut sol

Real life n.k
Binafsi sikuwahi kusikiliza wimbo hata 1 ya Burna boy so baada yakuona jamaaa anazungumziwa Sana na Mafanikio anayopata kwenye mziki wake Ikabidi Jana nisikilize wimbo wake hata 1 ilinijidhihilishe jamaa kweli anajua?


Nikaanza na wimbo " Way too big" bonge moja ya track na nyingine nyingi nikagundua jamaa ameibadili game ya Nigeria music kiasi kikubwa ana ubunifu mzuri wa nyimbo zake anastahili kabisa kuwa best male in Africa
 
Burna mkali Ila binafsi Pantoranking ni level nyingne.Kamuulizeni Diamond kwenye ile love u die alivyopotezwa
 
Back
Top Bottom