Nilikuwa naogopa kumtongoza; jana kumwambia akasema short time 5000 kulala 20000

Nilikuwa naogopa kumtongoza; jana kumwambia akasema short time 5000 kulala 20000

Kama mimi ningekua wewe hakika ningelipukwa kwa shangwe.

Drama za mapenzi zinachosha mno aisee, ni bora mtu akuchane kama ivo.
Ni wewe tu ujioange tena bei rahisi kabisa kwa maana hiyo ukiwa na laki zako 2 tu na vike mtoto umemuelewa unajilia zako hata siku 3 mkiwa pamoja kwa siku zote na kitita chake unacho.
Ukimtaka tena unasaka pesa unanunua penzi kama kawaida au unabadili mtoto.
 
Kama mimi ningekua wewe hakika ningelipukwa kwa shangwe.

Drama za mapenzi zinachosha mno aisee, ni bora mtu akuchane kama ivo.
Ni wewe tu ujioange tena bei rahisi kabisa kwa maana hiyo ukiwa na laki zako 2 tu na vike mtoto umemuelewa unajilia zako hata siku 3 mkiwa pamoja kwa siku zote na kitita chake unacho.
Ukimtaka tena unasaka pesa unanunua penzi kama kawaida au unabadili mtoto.
Bofya hapa mkuu ujichagulie umtakaye.

 
Bora mmalizane yaishe sio mara ya wigi, ya saloon, mara pedicure, mara gesi imeisha, mara mama anaumwa....mpe hiyo efulu Tano Kila wingu likitanda unamuita yanaishia Hapo no mahusiano mengine. Mnapata bahati mnachezea
Bora kbsa hyo tano tu kuliko kuwekewa bili
 
Ha ha ha.....
Maana ake Apo kwanza ncheke[emoji2]
 
Mjini kawaida hiyo..mimi huku mtaan kuna dem nikawa nawaza namuingiaje..siku nimeomba namba akanipa fasta.
Namwambia tuonane, anauliza utanipa hela au unataka niwe mpenzi wako [emoji1]
Short, straight & clear[emoji4]
 
Hawa wadada wanaojiuza ndo wanaofanya thamani ya mwanamke ipotee.
Inategemea huyo tatizo bei iko cheee sanaa buku 5!!! Kuna demu kwa jinsi alivyobomba hata akitaka 50 kwa short time unampa kiroho safi...
 
Inategemea huyo tatizo bei iko cheee sanaa buku 5!!! Kuna demu kwa jinsi alivyobomba hata akitaka 50 kwa short time unampa kiroho safi...
Kila mtu na levels zake, levels zako wewe ziko hapa.

 
Hii site ni balaa watoto wote ni wakali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unasumbuliwaje na kitu kinachoitwa sex?

Wana kauli mbiu yao tutafute pesa sawa tumekubali tunatafuta na sisi tukizipata tunaingia kwenye soko tunawachaguwa kama bidhaa.

Imagine umesafiri sehemu kama Arusha na winter la Arusha upo hotelini wala huna sababu ya kuangaika mitaani huduma hio online unafanyiwa delivery ya mbususu bila kusumbuka ni google map tu inafanyakazi.
 
Nipo kituo cha basi kinaitwa Boko ni asubuhi so najichelewesha kupanda gari nikawa nimejitenga upande mwingine kabisa wa kituo. Kuna binti nilimkuta kituoni ila nilipojitenga akaja upande ule ule. Tumuite T.

Kuna mdada amevaa gauni. Fupi na yeye ana mwili uliojaa so linapanda, T akatoa koment ya kumjadili dada wa gauni nikaisapoti tukaanza tia stori, nikajua anaenda Makumbusho.
Nikapanda naye gari nikamlipia nauli, kufika Mwenge, nikaomba namba akanitext hivi 'Nina xhida na elf mbil'

Mi nikajibu 'Poa' sms yake ikajirudia ''Nna xhd na elf 2" nainua uso nakuta ananitazama. Tukashuka makumbusho nikampa 2K nikamuuliza anapoenda akajibu nyumbani hana ishu kama vipi twende kwangu.

Nikamuambia tutachekiana. Binti hakua mkali so hakunipa mzuka wa hiiivyo.

Basi mi nikaelekea zangu mtaani.

Narudi kumalizia haka kaishu
 
Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Huyu dem anakaa mitaa ya temeke pile Sasa tulikutana kwenye mitaa ninayo kaa yeye akawa anaulizia nyumba moja hivi ikabidi niombe namba lakini pia nikamuonyesha njia mpaka kwa huyo mtu.

Sasa baada ya kuchukua hiyo namba nikawa kila siku namsalimia tu naogopa kumwambia ukweli kutokana na mwonekano wake sikutaka kwenda pupa maana simba mwenda pole ndie mla nyama. Jana Sasa nikasema Poteleapote mimi nalipuka Leo namwambia ukweli wangu.
Nikampigia kwa namba yangu ya Voda (hii namba yeye hana anayo namba ya tigo tu), nikaona yupo kwenye makerere sana nikajua kwakua ni sikuku labda kapata order. [emoji116]

Nikamwambia Leo mimi nakuhitaji nikasikia anasema short time 5000 kulala 20000 lahaula nilichoka ghafla mpaka mzee Osama akalala, nikasema moyoni Asante mungu umenionyesha ukweli kwa kile kilichojificha. View attachment 2211533
Huyu amekufanyia hivyo hili umkimbie na usimsumbue anajua Pengine Tabia zako chafu
 
Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Huyu dem anakaa mitaa ya temeke pile Sasa tulikutana kwenye mitaa ninayo kaa yeye akawa anaulizia nyumba moja hivi ikabidi niombe namba lakini pia nikamuonyesha njia mpaka kwa huyo mtu.

Sasa baada ya kuchukua hiyo namba nikawa kila siku namsalimia tu naogopa kumwambia ukweli kutokana na mwonekano wake sikutaka kwenda pupa maana simba mwenda pole ndie mla nyama. Jana Sasa nikasema Poteleapote mimi nalipuka Leo namwambia ukweli wangu.
Nikampigia kwa namba yangu ya Voda (hii namba yeye hana anayo namba ya tigo tu), nikaona yupo kwenye makerere sana nikajua kwakua ni sikuku labda kapata order. [emoji116]

Nikamwambia Leo mimi nakuhitaji nikasikia anasema short time 5000 kulala 20000 lahaula nilichoka ghafla mpaka mzee Osama akalala, nikasema moyoni Asante mungu umenionyesha ukweli kwa kile kilichojificha. View attachment 2211533
No money no love.
 
Back
Top Bottom