C Bora Gono linatibikaVamia vamia..mwisho kulivaa gono
Uwe mwangalifu na picha unazoweka, huyo mwanadada aliwahi kuwa mgombea urais huko Rwanda akaondolewa kwenye kinyang'anyiro na Tume ya uchaguzi.Hapana picha haina uhusiano na kilichoandikwa
Najua mkuuUwe mwangalifu na picha unazoweka, huyo mwanadada aliwahi kuwa mgombea urais huko Rwanda akaondolewa kwenye kinyang'anyiro na Tume ya uchaguzi.
Huyu dada hajiuzi....ni Mnyarwanda na ninamfahamu fika. Tafadhali itoe hii picha kabla hujapata matatizo zaidi.Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Huyu dem anakaa mitaa ya temeke pile Sasa tulikutana kwenye mitaa ninayo kaa yeye akawa anaulizia nyumba moja hivi ikabidi niombe namba lakini pia nikamuonyesha njia mpaka kwa huyo mtu.
Sasa baada ya kuchukua hiyo namba nikawa kila siku namsalimia tu naogopa kumwambia ukweli kutokana na mwonekano wake sikutaka kwenda pupa maana simba mwenda pole ndie mla nyama. Jana Sasa nikasema Poteleapote mimi nalipuka Leo namwambia ukweli wangu.
Nikampigia kwa namba yangu ya Voda (hii namba yeye hana anayo namba ya tigo tu), nikaona yupo kwenye makerere sana nikajua kwakua ni sikuku labda kapata order. [emoji116]
Nikamwambia Leo mimi nakuhitaji nikasikia anasema short time 5000 kulala 20000 lahaula nilichoka ghafla mpaka mzee Osama akalala, nikasema moyoni Asante mungu umenionyesha ukweli kwa kile kilichojificha. View attachment 2211533
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2960] ww shida yako shekh ilikuwa upige usepe au ujenge kibanda cha offside kabisaa?
Kama ni upife usepe sasa chukua mzigo huo lipia 20k ukakate kiu yako
Unamjua au unamsikiaHuyu dada hajiuzi....ni Mnyarwanda na ninamfahamu fika. Tafadhali itoe hii picha kabla hujapata matatizo zaidi.
Wewe ni kolo, una miaka 35+Unamjua au unamsikia
Mtu akiwa na miaka 35+ ni kolo?. Nina wasiwasi na akili yakoWewe ni kolo, una miaka 35+
Hilo natakiwa nikuambie wewe.Mtu akiwa na miaka 35+ ni kolo?. Nina wasiwasi na akili yako
Hapana huduma ni kwa kila rika na kila hali ya kiuchumi, wanatusaidia sana kwa kweli sisi wanyongeHawa wadada wanaojiuza ndo wanaofanya thamani ya mwanamke ipotee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana huduma ni kwa kila rika na kila hali ya kiuchumi, wanatusaidia sana kwa kweli sisi wanyonge
Sawa Mkulungwa01Hilo natakiwa nikuambie wewe.