Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sawa kiongoziYapo maeneo wamejiwekea wanauza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kiongoziYapo maeneo wamejiwekea wanauza
Pengine hujamwelewa. Osama kulala ni kwa sababu huyo dada anafanya biashara hiyo. Alitegemea atapata ugumu kumpata ila cha kushangaza anapewa bei elekezI moja kwa mojaNipe namba yake mbona dau dogo hilo kumbe ulitaka bure?
Hapana nilitaka kuchovya tu na kuondoka
Tu sahau pepo😂😂😂5000 mbona bei za vibinti vichafu vichafu mkuu mbona unatuangusha. Muulize usafi mlango wa uwani bei ngapi?
Kwani kuna pepo?Tu sahau pepo😂😂😂
Huyo kwenye picha ndio yeye?Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Huyu dem anakaa mitaa ya temeke pile Sasa tulikutana kwenye mitaa ninayo kaa yeye akawa anaulizia nyumba moja hivi ikabidi niombe namba lakini pia nikamuonyesha njia mpaka kwa huyo mtu.
Sasa baada ya kuchukua hiyo namba nikawa kila siku namsalimia tu naogopa kumwambia ukweli kutokana na mwonekano wake sikutaka kwenda pupa maana simba mwenda pole ndie mla nyama. Jana Sasa nikasema Poteleapote mimi nalipuka Leo namwambia ukweli wangu.
Nikampigia kwa namba yangu ya Voda (hii namba yeye hana anayo namba ya tigo tu), nikaona yupo kwenye makerere sana nikajua kwakua ni sikuku labda kapata order. [emoji116]
Nikamwambia Leo mimi nakuhitaji nikasikia anasema short time 5000 kulala 20000 lahaula nilichoka ghafla mpaka mzee Osama akalala, nikasema moyoni Asante mungu umenionyesha ukweli kwa kile kilichojificha. View attachment 2211535
Hapana bossHuyo kwenye picha ndio yeye?
Hiyo 20000 aliyokwambia alisema unalala mwenye ghetto lako au lake?Hapana boss
Siku hizi hata kipande Cha karatasi kinanunuliwa.....Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Huyu dem anakaa mitaa ya temeke pile Sasa tulikutana kwenye mitaa ninayo kaa yeye akawa anaulizia nyumba moja hivi ikabidi niombe namba lakini pia nikamuonyesha njia mpaka kwa huyo mtu.
Sasa baada ya kuchukua hiyo namba nikawa kila siku namsalimia tu naogopa kumwambia ukweli kutokana na mwonekano wake sikutaka kwenda pupa maana simba mwenda pole ndie mla nyama. Jana Sasa nikasema Poteleapote mimi nalipuka Leo namwambia ukweli wangu.
Nikampigia kwa namba yangu ya Voda (hii namba yeye hana anayo namba ya tigo tu), nikaona yupo kwenye makerere sana nikajua kwakua ni sikuku labda kapata order. [emoji116]
Nikamwambia Leo mimi nakuhitaji nikasikia anasema short time 5000 kulala 20000 lahaula nilichoka ghafla mpaka mzee Osama akalala, nikasema moyoni asante mungu umenionyesha ukweli kwa kile kilichojificha.
Huyu jamaa ovyo kabisa, kapata mzinifu mwenzie hamtakiSasa unataka Mtu wa kufanya nae ukahaba lakini humtaki Kahaba.
Wakati unamtongoza nia yako ilikuwa uoe? Au upige utambae?Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Huyu dem anakaa mitaa ya temeke pile Sasa tulikutana kwenye mitaa ninayo kaa yeye akawa anaulizia nyumba moja hivi ikabidi niombe namba lakini pia nikamuonyesha njia mpaka kwa huyo mtu.
Sasa baada ya kuchukua hiyo namba nikawa kila siku namsalimia tu naogopa kumwambia ukweli kutokana na mwonekano wake sikutaka kwenda pupa maana simba mwenda pole ndie mla nyama. Jana Sasa nikasema Poteleapote mimi nalipuka Leo namwambia ukweli wangu.
Nikampigia kwa namba yangu ya Voda (hii namba yeye hana anayo namba ya tigo tu), nikaona yupo kwenye makerere sana nikajua kwakua ni sikuku labda kapata order. [emoji116]
Nikamwambia Leo mimi nakuhitaji nikasikia anasema short time 5000 kulala 20000 lahaula nilichoka ghafla mpaka mzee Osama akalala, nikasema moyoni asante mungu umenionyesha ukweli kwa kile kilichojificha.
Kama kuchovya na kuondoka sasa si umeshapewa vigezo na masharti kuzingatiwa. Shida ilo wapi?Hapana nilitaka kuchovya tu na kuondoka
Nipe mimi hiyo namba niendelee pale pale ulipoishiaKweli uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Huyu dem anakaa mitaa ya temeke pile Sasa tulikutana kwenye mitaa ninayo kaa yeye akawa anaulizia nyumba moja hivi ikabidi niombe namba lakini pia nikamuonyesha njia mpaka kwa huyo mtu.
Sasa baada ya kuchukua hiyo namba nikawa kila siku namsalimia tu naogopa kumwambia ukweli kutokana na mwonekano wake sikutaka kwenda pupa maana simba mwenda pole ndie mla nyama. Jana Sasa nikasema Poteleapote mimi nalipuka Leo namwambia ukweli wangu.
Nikampigia kwa namba yangu ya Voda (hii namba yeye hana anayo namba ya tigo tu), nikaona yupo kwenye makerere sana nikajua kwakua ni sikuku labda kapata order. [emoji116]
Nikamwambia Leo mimi nakuhitaji nikasikia anasema short time 5000 kulala 20000 lahaula nilichoka ghafla mpaka mzee Osama akalala, nikasema moyoni asante mungu umenionyesha ukweli kwa kile kilichojificha.