Urefu wangu, mita 1.8x
Haya mambo nilikuwa nayachukulia poa sana nilidhani ni kawaida kwa kila mtu ila nimekuja kuyajua baadae sana
- Wale vibaka wa kumendea kuiba simu sijawai kusogelewa nao, nilikuwa nikisikia hizi story nadhani labda napita njia tofauti
- Watu hawapendi kuanzisha ugomvi na mimi, nilikuwa naona watu ni wapenda amani ila nikaja kustuka kwanini hata wakorofi wanapenda amani ?
- Sijui nieleze vipi lakini nikienda sehemu flani huwa ni kama kuna kaheshima hivi, watu hupenda kunisalimu lakini sina uhakika labda ni vile huwa napenda kuwa nadhifu.
Haya mambo nilikuwa nayachukulia poa sana nilidhani ni kawaida kwa kila mtu ila nimekuja kuyajua baadae sana
- Wale vibaka wa kumendea kuiba simu sijawai kusogelewa nao, nilikuwa nikisikia hizi story nadhani labda napita njia tofauti
- Watu hawapendi kuanzisha ugomvi na mimi, nilikuwa naona watu ni wapenda amani ila nikaja kustuka kwanini hata wakorofi wanapenda amani ?
- Sijui nieleze vipi lakini nikienda sehemu flani huwa ni kama kuna kaheshima hivi, watu hupenda kunisalimu lakini sina uhakika labda ni vile huwa napenda kuwa nadhifu.