Nilikuwa nauchukulia poa urefu wangu kuona ni kawaida kumbe kuna priveledge kadhaa nazipata bila kujua

Nilikuwa nauchukulia poa urefu wangu kuona ni kawaida kumbe kuna priveledge kadhaa nazipata bila kujua

Urefu wangu, mita 1.8x

Haya mambo nilikuwa nayachukulia poa sana nilidhani ni kawaida kwa kila mtu ila nimekuja kuyajua baadae sana

- Wale vibaka wa kumendea kuiba simu sijawai kusogelewa nao, nilikuwa nikisikia hizi story nadhani labda napita njia tofauti

- Watu hawapendi kuanzisha ugomvi na mimi, nilikuwa naona watu ni wapenda amani ila nikaja kustuka kwanini hata wakorofi wanapenda amani ?

- Sijui nieleze vipi lakini nikienda sehemu flani huwa ni kama kuna kaheshima hivi, watu hupenda kunisalimu lakini sina uhakika labda ni vile huwa napenda kuwa nadhifu.
Unajisifu na urefu wa mwili....huku urefu wa akili zako naona kabisa si shwari!
 
Urefu wangu, mita 1.8x

Haya mambo nilikuwa nayachukulia poa sana nilidhani ni kawaida kwa kila mtu ila nimekuja kuyajua baadae sana

- Wale vibaka wa kumendea kuiba simu sijawai kusogelewa nao, nilikuwa nikisikia hizi story nadhani labda napita njia tofauti

- Watu hawapendi kuanzisha ugomvi na mimi, nilikuwa naona watu ni wapenda amani ila nikaja kustuka kwanini hata wakorofi wanapenda amani ?

- Sijui nieleze vipi lakini nikienda sehemu flani huwa ni kama kuna kaheshima hivi, watu hupenda kunisalimu lakini sina uhakika labda ni vile huwa napenda kuwa nadhifu.
Kuna siku nilishangaa jinsi salamu za heshima (shikamoo, mkuu, kaka, baba, karibu sana boss, n.k) mpaka nikasema leo vp, nikaanza kuangalia nimefanya nini jana au leo asubuhi mbona naheshimiwa sana leo? Labda ni ile chai ya tangawizi? au pengine ni maji mengi niliyokunjwa mapema asubuhi? Sikupata jibu hadi nilipogundua siku hiyo nilikuwa nimepiga pamba freshi. Mimi huwa si-maindi sana mavazi lakini tangu siku hiyo nilijua watu wanavutika sana na jinsi ulivyovaa! Siku nikitana mashkamoo, ma-heshma makubwa, boss, mkuu, kiongozi, nk natupia ka-pamba ka-kali basi. Urefu unalipa.
 
Hilo la kuibiwa, sidhani kama ni kweli...pengine unavyomiliki sio vya gharama mpaka uibiwe
 
Nilidhani umepanda cheo kumbe unaishi mazingira hatari

Tafuta hela mkuu uache kutembea na miguu hao vibaka utawasikia Tu, ujenge sehemu zenye usalama na ukiweza Kupaki gari ya maana za huko 400m hiyo shikamoo utapokea mpaka utachoka hata kutoka Kwa waliokuzidi umri na urefu
 
Urefu wangu, mita 1.8x

Haya mambo nilikuwa nayachukulia poa sana nilidhani ni kawaida kwa kila mtu ila nimekuja kuyajua baadae sana

- Wale vibaka wa kumendea kuiba simu sijawai kusogelewa nao, nilikuwa nikisikia hizi story nadhani labda napita njia tofauti

- Watu hawapendi kuanzisha ugomvi na mimi, nilikuwa naona watu ni wapenda amani ila nikaja kustuka kwanini hata wakorofi wanapenda amani ?

- Sijui nieleze vipi lakini nikienda sehemu flani huwa ni kama kuna kaheshima hivi, watu hupenda kunisalimu lakini sina uhakika labda ni vile huwa napenda kuwa nadhifu.
Bila picha ni Uongoooooo
 
Back
Top Bottom