Extroverted Introvert
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 599
- 1,565
Ongezea Nido iwe na radha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajisifu na urefu wa mwili....huku urefu wa akili zako naona kabisa si shwari!Urefu wangu, mita 1.8x
Haya mambo nilikuwa nayachukulia poa sana nilidhani ni kawaida kwa kila mtu ila nimekuja kuyajua baadae sana
- Wale vibaka wa kumendea kuiba simu sijawai kusogelewa nao, nilikuwa nikisikia hizi story nadhani labda napita njia tofauti
- Watu hawapendi kuanzisha ugomvi na mimi, nilikuwa naona watu ni wapenda amani ila nikaja kustuka kwanini hata wakorofi wanapenda amani ?
- Sijui nieleze vipi lakini nikienda sehemu flani huwa ni kama kuna kaheshima hivi, watu hupenda kunisalimu lakini sina uhakika labda ni vile huwa napenda kuwa nadhifu.
kwahilo jibu itakuwa ni Motorola L6 moja kwa moja 😂acha wewe unafurahia nizeekee nyumbani,,unanfukuzia mtongozo huo
sijawahi gombana na mtu humu,,ila naona wewe utafaa kugombana 😂kwahilo jibu itakuwa ni Motorola L3 moja kwa moja 😂
Ngoja nione!we ungeweza
Kuna siku nilishangaa jinsi salamu za heshima (shikamoo, mkuu, kaka, baba, karibu sana boss, n.k) mpaka nikasema leo vp, nikaanza kuangalia nimefanya nini jana au leo asubuhi mbona naheshimiwa sana leo? Labda ni ile chai ya tangawizi? au pengine ni maji mengi niliyokunjwa mapema asubuhi? Sikupata jibu hadi nilipogundua siku hiyo nilikuwa nimepiga pamba freshi. Mimi huwa si-maindi sana mavazi lakini tangu siku hiyo nilijua watu wanavutika sana na jinsi ulivyovaa! Siku nikitana mashkamoo, ma-heshma makubwa, boss, mkuu, kiongozi, nk natupia ka-pamba ka-kali basi. Urefu unalipa.Urefu wangu, mita 1.8x
Haya mambo nilikuwa nayachukulia poa sana nilidhani ni kawaida kwa kila mtu ila nimekuja kuyajua baadae sana
- Wale vibaka wa kumendea kuiba simu sijawai kusogelewa nao, nilikuwa nikisikia hizi story nadhani labda napita njia tofauti
- Watu hawapendi kuanzisha ugomvi na mimi, nilikuwa naona watu ni wapenda amani ila nikaja kustuka kwanini hata wakorofi wanapenda amani ?
- Sijui nieleze vipi lakini nikienda sehemu flani huwa ni kama kuna kaheshima hivi, watu hupenda kunisalimu lakini sina uhakika labda ni vile huwa napenda kuwa nadhifu.
Angalia usikute unamtesa shemeji yetu bure
Nyie mmependana kinoma inaonekana!. La sivyo kuna sisi ambao leo tunawezaku-endure kesho hatuwezi kinachofuata ni kipigo.
Wanabutua mbunye au wanabutua nininna 163cm na n mwanamke woooiii [emoji1487][emoji2096]na siheshimiwi naonewa na kubutuliwa kila siku
200 cm ndio wenyewe.Urefu ambao unaweza kusababisha uheshimike ni kati ya 150-165cm ukizidi hapo huheshimiki unashang'awa
VyoteWanabutua mbunye au wanabutua nini
Umegusa mita 2 master!? Am not buying this200 cm ndio wenyewe.
Mie ni 161 cm. Very short stature.Umegusa mita 2 master!? Am not buying this
Tupo sawaMe n 189
Nilitaka kushang'aa ww ni mrefu kuliko hata haalandMie ni 161 cm. Very short stature.
Bila picha ni UongooooooUrefu wangu, mita 1.8x
Haya mambo nilikuwa nayachukulia poa sana nilidhani ni kawaida kwa kila mtu ila nimekuja kuyajua baadae sana
- Wale vibaka wa kumendea kuiba simu sijawai kusogelewa nao, nilikuwa nikisikia hizi story nadhani labda napita njia tofauti
- Watu hawapendi kuanzisha ugomvi na mimi, nilikuwa naona watu ni wapenda amani ila nikaja kustuka kwanini hata wakorofi wanapenda amani ?
- Sijui nieleze vipi lakini nikienda sehemu flani huwa ni kama kuna kaheshima hivi, watu hupenda kunisalimu lakini sina uhakika labda ni vile huwa napenda kuwa nadhifu.