Nilikuwa nausuburia kwa hamu uzi mpya wa simba utoke ila kwa haya ma mo mo moooo yaliyojaa kwenye jezi mtavaa wenyewe

Nilikuwa nausuburia kwa hamu uzi mpya wa simba utoke ila kwa haya ma mo mo moooo yaliyojaa kwenye jezi mtavaa wenyewe

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Siwezi kuvaaa hii jezy aisee

B85CA152-42F7-4D31-A9B1-D3FF8F6D058A.jpeg
 
Mo extra ndogo
Mo extra kubwa
Mo foundation
Mo sport
Mo asuarance


Jezi pair moja matangazo ya mo matano

Bado tena sandaland n.k.

Ila Simba Kuna ujinga mwingi Sana. Sema wamekuta mashabiki hawajielewi watawatumia mpaka mwisho. Kwa ujinga huu, hakuna kununua jeshi. Wapate hasara akili iwaingie.
 
Kwahiyo pesa ya Mo mnaitaka lakini hamtaki kumtangazia bidhaa zake.

Mnakoelekea simba mtawatisha wadhamini maana mnawaonyesha tabia zisizotabirika kibiashara.

Tabia za namna hii si nzuri kwa uwekezaji.
Aaaahaa

Nacheka ka mazuri vile,dah
 
Ila Simba Kuna ujinga mwingi Sana. Sema wamekuta mashabiki hawajielewi watawatumia mpaka mwisho. Kwa ujinga huu, hakuna kununua jeshi. Wapate hasara akili iwaingie.
We fala kweli eti mashabiki hawajielewi, hao mashabiki wanaojielewa wa timu nyingine wanatoa sh ngapi za kuendesha club zao?
 
Mimi mbona nikiangalia naona hamna shida ubaya uko wapi ? labda ile nyeupe.

Ukienda kwa wanzetu nzuri ni moja tu ile inayotaka kufanana na nyeusi.

Anyway mawazo yangu tu

Shida wana simba ni kusikiliza sana maneno ya watu, afu ukute hao wanaongea ni uto.

Timu toka imeanza msimu huu haikuwa vizuri, tukalalamika tatizo kocha, hata kabla ya mechi ya Simba na Yanga tulikuwa tukilalamika na baadhi ya uto wakasema shida ni kocha.

Katolewa tunasema viongozi wamekurupuka, yani hatueleweki nini tunataka.

Hii inatokana kusikiliza maneno ya watu ambao uto ndio uongea sana.

Kwenye jersey ni hivyo hivyo, mnawasikiliza Yanga sana.

Leo tunajifanya kumkumbuka Barbara, eti yeye alikuwa mzuri, wakati mashabiki ndio tulikuwa tunasema atoke mpaka ameachia ngazi.

Afu leo tunajifanya kumkumbuka, yani hatuelewi nini tunataka, yani kila kitu kulalamika.
 
Back
Top Bottom