Nilikuwa nausuburia kwa hamu uzi mpya wa simba utoke ila kwa haya ma mo mo moooo yaliyojaa kwenye jezi mtavaa wenyewe

Nilikuwa nausuburia kwa hamu uzi mpya wa simba utoke ila kwa haya ma mo mo moooo yaliyojaa kwenye jezi mtavaa wenyewe

Tupate maoni ya Scars

Nikukumbushe mleta mada umemsahau ile Mo ya nyuma....
 
Kwahiyo pesa ya Mo mnaitaka lakini hamtaki kumtangazia bidhaa zake.

Mnakoelekea simba mtawatisha wadhamini maana mnawaonyesha tabia zisizotabirika kibiashara.

Tabia za namna hii si nzuri kwa uwekezaji.
Asante CEO wa MeLT, tutajirekebisha.
 
Back
Top Bottom