Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wape vibaruaWachawi hawana akili kabisa wanaacha kulala wanafanya ujinga ujinga tu
Labda tembo hao watakuwa wa pori la Chato.Huo uzito wa tembo unaoongelea ni wa tembo Hawa wanaopatikana Tanzania.....!
Isije kuwa huko kwenu Kuna vidubwasha mnaviita tembo ndo unaoongelea hapa!
Kulala chali uleta ndoto mbayaWee Dream Queen kulala chali kuna uhusiano gani na uchawi?
aise umedislike comment yangu kwa sababu zipi mkuu?
Tuweke na iriki mkuu ... Chai Tamu sana...
Na wanaopinga ndiyo wachawi wenyewe haoUchawi upo sana tu tena unakuta wengne wanapinga kumbe ndo wachawi wakubwa
Hao ni watumishi wa shetani. Shetani hana haja na mapesa ya benki. Anawaza tu kuchinja na kuwaharibu wanadamu. Tumpinge kwa Jina la Yesu.Hawa watu ni wapumbavu sana badala ya kwenda benki kichawi kusomba mipesa wanakuja kutusumbua walala hoi.
Uchawi ulikuwepo toka enzi za kina Musa. Wasomaji wa Biblia wanajua hilo. Hata hivyo Jina la Yesu lina nguvu kuliko uchawi na wachawi wote. Tunapovamiwa na wachawi, tuwakemee kwa Jina la Yesu, watakimbiaUchawi upo sana tu tena unakuta wengne wanapinga kumbe ndo wachawi wakubwa
ujawahi kunijibu maana utakuwa na vifungu vya bibilia,itakuwa unaongea miujiza ambayo kila siku nikikusema sikuelewiUchawi ulikuwepo toka enzi za kina Musa. Wasomaji wa Biblia wanajua hilo. Hata hivyo Jina la Yesu lina nguvu kuliko uchawi na wachawi wote. Tunapovamiwa na wachawi, tuwakemee kwa Jina la Yesu, watakimbia