Nilikuwa nimelala chali, "tembo" akanigandamiza sana kifuani

Nilikuwa nimelala chali, "tembo" akanigandamiza sana kifuani

Hawa viumbe ni washenzi sana kuna mwaka tupo Dodoma nyumba ya jirani alishikwa mchawi akiwa hovyo sana
Tuwaombee Mungu awabadilishe. Waachane na maisha hayo ya kuwa watumwa wa Ibilisi
 
Huo uzito wa tembo unaoongelea ni wa tembo Hawa wanaopatikana Tanzania.....!

Isije kuwa huko kwenu Kuna vidubwasha mnaviita tembo ndo unaoongelea hapa!
Labda tembo hao watakuwa wa pori la Chato.
 
Hawa watu ni wapumbavu sana badala ya kwenda benki kichawi kusomba mipesa wanakuja kutusumbua walala hoi.
 
Faida ya mchawi niipi? Maana wengi wao ni maskini.@mshana njoo utueleze.
 
Uchawi upo sana tu tena unakuta wengne wanapinga kumbe ndo wachawi wakubwa
 
Hawa watu ni wapumbavu sana badala ya kwenda benki kichawi kusomba mipesa wanakuja kutusumbua walala hoi.
Hao ni watumishi wa shetani. Shetani hana haja na mapesa ya benki. Anawaza tu kuchinja na kuwaharibu wanadamu. Tumpinge kwa Jina la Yesu.
 
Uchawi upo sana tu tena unakuta wengne wanapinga kumbe ndo wachawi wakubwa
Uchawi ulikuwepo toka enzi za kina Musa. Wasomaji wa Biblia wanajua hilo. Hata hivyo Jina la Yesu lina nguvu kuliko uchawi na wachawi wote. Tunapovamiwa na wachawi, tuwakemee kwa Jina la Yesu, watakimbia
 
Uchawi ulikuwepo toka enzi za kina Musa. Wasomaji wa Biblia wanajua hilo. Hata hivyo Jina la Yesu lina nguvu kuliko uchawi na wachawi wote. Tunapovamiwa na wachawi, tuwakemee kwa Jina la Yesu, watakimbia
ujawahi kunijibu maana utakuwa na vifungu vya bibilia,itakuwa unaongea miujiza ambayo kila siku nikikusema sikuelewi
 
Back
Top Bottom