Panda Kapesi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 345
- 220
una matatizo huko kichwani maamuma weweHii yote ni kuzuia wapumbavu wachache kusambaza propaganda za kizushi! Watanzania linapokuja suala la uzushi mitandaoni tuko vizuri sana!
Sasa katika kipindi hiki cha kumzuia Amsterdam ni muhimu sana kuzuia wajinga wasilete ngebe mitandaoni
Wacha uongo wewe unafahamu kwa nini Trumpet alishinda USA? Hawa walikuwa wanajiandaa kuleta fujo na kuua watu, hivi unafikiri Serikali imelala? Hadi vituo feki vilikuwa vimeundwa nchi jirani, wewe endelea kulala tu lakini Serikali hii iko macho. Tanzania ni baba lao. Tunasubiri wale vichwa maji waliokuwa wanatishia tishia waanzishe fujo wakione cha moto.Mitandao ya kijamii ndio njia kuu ya kupashana habari, japo wamevibana vyombo vingine vya habari kwa kuvifungia ili visitangaze habari za upinzani, lakini mitandao ya kijamii kama twitter, fb, na instagram imewezesha kwa kiasi kikubwa sana kusaidia kampeni za Lissu.
CCM wanaiogopa hii mitandao kwasababu wanajua ndio itatumika kwa kiasi kikubwa kwenye kusambaza habari wakati wa uchaguzi, mfano, kutangaza mshindi kwenye kituo fulani au jimbo fulani pale ambapo majumuisho ya kura yatakuwa tayari yameshafanyika.
Ndio maana unasikia sasa hivi wanapiga marufuku mawakala wa vyama kuingia na simu kwenye vyumba vya kuhesabia kura, hii ni njia mojawapo ya kihuni inayotumiea na CCM kwenye kuiba kura kwa kuzuia jamii isipate matokeo halali kwa wakati.
Instagram angalau kidogoUkiacha hapa JF sidhan kama upo mwingine.
Twitter, Facebook, Insta, Whatsapp, Telegram, YouTube, hadi Play Store hai-access
Acha usengeTaifa hili ni zaidi ya Lisu na Amsterdam.
Selikali yangu kuzima mitandao ili kuzuia uhuni wa wajinga na wapumbavu wachache kina kigogo naunga mkono hoja.
Acha upumbavu wa kitotoSana namchukia sana huyu kibaraka!
Na siyo mimi tu watz wengi sana wameahirisha kumpigia kura sababu ya ujinga wake wa kumajiri Amsterdam mbelgiji awe anaingilia mambo ya ndani ya taifa letu.
Mpinzani akikuwa Slaa siyo hawa vibaraka wa sasa hivi.
Sawa kaka Pascal Mayalla kwa free and fair election tutaheshimiana sana tu.... sijui kama wanaweza?Anayesema mitano tena sio ng'ombe ni Watanzania na hicho ndicho wanachokwenda kufanya in less than 10 hours to come.
Kwa sasa, endelea kuita ng'ombe, kesho baada ya matokeo, tutaheshimiana tuu.
P
Tambua kuwa: A ghost that knows you will not devour you COMPLETELY.Kwanini JF hawajaifungia?
Siyo wakina Tomaso mkuu,hatukuamini kuwa raisi wa wanyonge anaweza akawafanyia wanyonge hivi kweli ametunyonga. Basi ni jambo langu.Nyie ndiyo akina tomaso, mlitahadharishwa mpakue VPN mkapuuza as usual... Pole
Nadhani ni suala la ulinzi na salama. Nasema nadhani tusilumbaneMmiliki wa JF yupo hapahapa, hawezi kukubali kufunga wala kukataa kutofunga bila sababu za msingi.
Ameamua kuwanyima access kwa sababu hawana sababu za msingi
kwani kuzimwa mitandao kunakuondoleaje imani yako kwa tundu lissu?Tangu juzi kulikuwa na tetesi za kwamba mitandao ya kijamii itazimwa kuanzia leo tarehe 27/10. Binafsi sikuamini kabisa habari hii kwa sababu moja tu
[emoji117]Hakuna athari itakayotokea kuharibu uchaguzi kwa watu kuendelea kutumia mitandao hii. Sasa imefungwa, bila taarifa kwa umma au yawezekana mimi ndio sikubahatika kupata taarifa. Naumia mno, nasononeka sana ukizingatia mahali nilipo sina namna nyingine ya kupata habari kwa haraka zaidi ya kupitia twitter, whatsapp, insta au FB.
Kwa sababu hii, naamini kuwa uchaguzi huu ni muhimu pengine mwingine wowote uliowahi kufanywa hapo awali. Kweli JPM hana tumaini la kumshinda Tundu Lissu, na njia pekee ni kutumia ubadhilifu, naelekea kuamini hivyo japo awali sikuwa na imani hiyo.
Nina swali dogo tu, kungetokea nini kama mitandao hii ingeendelea kuwa active? Nini kimekusudiwa kufichwa ambacho hakitafumbuliwa hata siku wakiiwasha tena?
JPM na serikali yake wanalenga kufanya nini?
Nakubaliana na wewe Muhenga mwenzangu.Tambua kuwa: A ghost that knows you will not devour you COMPLETELY.
Ni baadhi tu siyo yote .Usiwasikilize hao washenziHivi ni mitandao yote au baadhi?
Kwa bht mbay unatumia makanygio kufkiria hc tunaheshim ujinga wakoHii yote ni kuzuia wapumbavu wachache kusambaza propaganda za kizushi! Watanzania linapokuja suala la uzushi mitandaoni tuko vizuri sana!
Sasa katika kipindi hiki cha kumzuia Amsterdam ni muhimu sana kuzuia wajinga wasilete ngebe mitandaoni
Kam u tofayt na huu??Ni baadhi tu siyo yote .Usiwasikilize hao washenzi
Mi nnay lkn wakt server inazmwa yng ilkua off, kuja kuiwash nyooo haiconnect tn, m natumia vpn masterNyie ndiyo akina tomaso, mlitahadharishwa mpakue VPN mkapuuza as usual... Pole