Uchaguzi 2020 Nilikuwa siamini, sasa nimeamini uchaguzi huu ni muhimu sana

Uchaguzi 2020 Nilikuwa siamini, sasa nimeamini uchaguzi huu ni muhimu sana

Anayesema mitano tena sio ng'ombe ni Watanzania na hicho ndicho wanachokwenda kufanya in less than 10 hours to come.
Kwa sasa, endelea kuita ng'ombe, kesho baada ya matokeo, tutaheshimiana tuu.
P

Haupaswi kua hivyo.... huku JF tuko watu tofauti...

Be dynamic p
 
Melo wanammudu! Akijaribu na wameongea nae kwa kina kwamba asiruhusu mtandao wake uwe sehemu ya kueneza propaganda. Ndio maana ukiposti ujinga unakula ban na ujinga wako unafutwa.
Majibu yako yanaonyesha umetingwa, wanamuweza mbona wameshindwa kuizima Jf? Na hebu soma comment humu hasa za kuanzia July 2020 uone meko anavyopigwa mikuki humu. Hakuna an wala bin.
 
Uko mkoa gani ili kesho tunywe kinywaji ukitakacho na kula at my cost? Waambie hao book jero wanasumbua hapa Mkuu. Wavivu kufikiri sana hawa. Ushindi wao wa mabavu tu. Yaani wana hofu kubwa
Hawana hoja kila siku wanakimbilia kwa Robert wanajisahaulisha kuwa ni wao waliompeleka Ubelgiji ...
 
Mimi na washindia kande wenzangu tunasema nyie wala hamburgers wa ubelgiji mkampigie kampeni hukohuko kwenu

Heri tujilie makande yetu kuliko hamburgers za kuturudisha utumwani
Vipi kwenda Birmingham na Gwajiboy kuna makande kule
 
Sana namchukia sana huyu kibaraka!

Na siyo mimi tu watz wengi sana wameahirisha kumpigia kura sababu ya ujinga wake wa kumajiri Amsterdam mbelgiji awe anaingilia mambo ya ndani ya taifa letu.

Mpinzani akikuwa Slaa siyo hawa vibaraka wa sasa hivi.
Uliwahi kuchagua Dkt. Slaa kuwa Rais? Au unaongea tu kwasababu hayupo tena upinzani, Kama Lissu akishindwa akija mwengine bila shaka utasema mpinzani alikuwa Lissu
 
Mimi naongeza mabundle tu nashangaa Whatsap bado haifanyi kazi, noma sana..
 
Mimi na washindia kande wenzangu tunasema nyie wala hamburgers wa ubelgiji mkampigie kampeni hukohuko kwenu

Heri tujilie makande yetu kuliko hamburgers za kuturudisha utumwani
Mama mbona upo utumwani tangu utumwa ulipoanza!!? Hujui kumbe!??
Ona hapa sasa:

[emoji117]Dawa za magonjwa makubwa zote tunategemea kwa mabeberu na tunapewa bure
[emoji117]Pesa za mirandi mikubwa zote tunakopa kwao
[emoji117]Nusu ya bajeti yetu inategemea misaada ya mabeberu
[emoji117]Vifaa tiba vingi kama sio vyote tunategemea kutoa kwao
[emoji117]Experts wa afya tunawategemea wao
[emoji117]Mafunzo ya ulinzi na usalama ya ngazi ya kati na ya juu tunapewa na wao
Sasa sijui unataka utumwa gani tena zaidi ya huo
 
binafsi taarifa fake za mitandaona hua zinanikera maana nashindwaga kujua ukweli mi ni upi.

JF nyie mmefanyaje mko hewani tu japo kwenye telegram mumekwama...
Nani kakwama huko telegram nenda kanunue wapo
 
Huu uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Ha ha ha haaaaa ... si mlisema kura hazipigwi mitandaoni kulikoni tena wenzetu mmetuzimia mawasiliano yaani mnahaha ham hamtulii ha ha ha ha haaaaa Lissu kajua kuwati Dol# la kati

Eti mtoto wa mwambata wa ubalozi ulivokuwa mwenyewe unajielezea kwa majigamboooo eti nilisoma uganda nikiwa mtoto wa mwambata wa ubalozi

Ndio tumejua kuwa kwa nini mishipa ya shingo inakusimama kuitetea CCM kwa sababu we ni mmoja wa watoto walioishi kwa upendeleo wa chama kwa ufisadi wa Baba zenu

Wenzio tuna uchungu wa kweli na udhalimu wa CCM ... wakati wenzio tunafua nguo za Shule kwa Magwanji (hata hujui Magwanji ndio nini) wewe mwenzetu ulikua unafua nguo kwa Foma

Unaachaje kukomaa CCM ibaki madarakani maana ikianguka na mfereji wa neema za kurithi unakata shwaini kweli wewe unajisfiiiiiiaaaa ... ama kweli nguruwe ni nguruwe tu hata ukimuweka katika kundi la ngombe hawezi kuota mapembe

Shuwaini kweli we jamaaaa

20201027_222657.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni yeye kibaraka!

Lisu hajui siasa ni mwanaharakati ndio maana kupanda jukwani na kina Ponda ambae vyombo vga usalama vinamlia darubini 24 hours yeye haoni shida.
Kumtumia Amsterdam raia wa kigeni kumsemea juu ya mambo ya uchaguzi wa nchi ambayo siyo yake haoni shida.
Kwenda Zanzibar na kusema chadma haina maslahi na Zanzibar haoni shida. Kisha anataka awe rais wa mungano na anategemea vyombo vya usalama vimpe sapot.

Bure kabisa.
Ukitaka kujua hajui hata nafasi ya Uraisi inaheshimika ipi hata waandishi wamempuuza sana ni bora hata Umpe airtime Salimu Mwalimu kuliko Lissu full kutukana na kusema uongo, nimecheki UTV leo kuna mzee akalisema hilo kuwa bora ya Mwalimu na mimi nikamuumga mkono.
 
Nimesikitishwa kitendo cha star TV kukata matangazo ya BBC kisa tu walikuwa wanatoa taarifa ya mauaji ya watanzania wenzetu yaliyotokea leo huko zanzibar. SHAME ON YOU STAR TV kipi mnachoficha
Mkuu utawalaum bure. They are targets.

Mlaumu CDF, DIGIS na IGP wanaompa kiburi mpiga magoti bila hawa hata NEC isingekuwa na kibri cha kuharibu uchaguzi
 
Ukitaka kujua hajui hata nafasi ya Uraisi inaheshimika ipi hata waandishi wamempuuza sana ni bora hata Umpe airtime Salimu Mwalimu kuliko Lissu full kutukana na kusema uongo ,nimecheki UTV leo kuna mzee akalisema hilo kuwa bora ya Mwalimu na mimi nikamuumga mkono.
Haters mtakoma mwaka huu.
 
Mimi na washindia kande wenzangu tunasema nyie wala hamburgers wa ubelgiji mkampigie kampeni hukohuko kwenu

Heri tujilie makande yetu kuliko hamburgers za kuturudisha utumwani
Hapo ulipo tu unatumia vpn kwa sababu ya mkoloni mweuzi leo kakunyosha na bado hujitambu. VPN unayotumia ndio ya hao mabeberu. We kweli ni Lofa in Mkapas voice.
 
Ukitaka kujua hajui hata nafasi ya Uraisi inaheshimika ipi hata waandishi wamempuuza sana ni bora hata Umpe airtime Salimu Mwalimu kuliko Lissu full kutukana na kusema uongo ,nimecheki UTV leo kuna mzee akalisema hilo kuwa bora ya Mwalimu na mimi nikamuumga mkono.
Nasikitika kuona kuwa kumbe hujui waandishi wote na vyombo vyao wametishwa na wanazidi kutishwa na kusukumwa kutorusha matangazo ya TL kwa upana.! Sikudhani km kuna mtumiaji wa JF hajui hilo. Pole sana
 
Mam mbona upo utumwani tangu utumwa ulipoanza!!? Hujui kumbe!??
Ona hapa sasa:
[emoji117]Dawa za magonjwa makubwa zote tunategemea kwa mabeberu na tunapewa bure
[emoji117]Pesa za mirandi mikubwa zote tunakopa kwao
[emoji117]Nusu ya bajeti yetu inategemea misaada ya mabeberu
[emoji117]Vifaa tiba vingi kama sio vyote tunategemea kutoa kwao
[emoji117]Experts wa afya tunawategemea wao
[emoji117]Mafunzo ya ulinzi na usalama ya ngazi ya kati na ya juu tunapewa na wao
Sasa sijui unataka utumwa gani tena zaidi ya huo

Hivyo vyote ulivyotaja hawavigawi bure wanauza na ili tuvinunue inabidi na sisi tuwe na cha kuwauzia tuwe na pesa either cash au kwa mkopo. Ndio maana tumeboresha mikataba na masoko ya madini vingine vingi

Bila kufanya hivyo watatuletea hizo huduma halafu watatulazimisha kuweka rehani mali zetu kwao kwa masharti ambayo tutashindwa kuwalipa na watatufilisi. Na huo ndio utumwa
 
Back
Top Bottom