Uchaguzi 2020 Nilikuwa siamini, sasa nimeamini uchaguzi huu ni muhimu sana

Uchaguzi 2020 Nilikuwa siamini, sasa nimeamini uchaguzi huu ni muhimu sana

Mchuano ni mkali usipime! wanakaba mpaka penati, wamezidiwa, mziki wa Lissu ni mnene, mtu mmoja analihenyesha kundi kubwa, wanahaha asishinde urais, jamaa kavuka vizingiti vingi yupo anasonga mbele, kura zitapigwa atakabiliana na kizingiti cha mwisho kutangazwa mshindi haya yatakuwa maajabu haijawahi kutokea mpinzani kushinda uchaguzi katika Tanzania tangu siasa za vyama vingi vianze.Suala la kuzimazima mitandao linaleta utata katika kipindi hiki cha uchaguzi
 
Lazima waogope mitandao ya kijamii wakikumbuka Mange Kimambi alivyowatoaga jasho siku za nyuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hoja dhaifu. Lissu alitushtua na tunampenda tutampigia
Ukiwa huwajui watanzania hiyo ni hoja dhaifu ila ndio kesha fail

Niliwahi kusema mwanzoni kabisa kwamba kampeni za tundu kwa watanzania zilikua sawa na mfanyabiashara wa beer na kitimoto aliyeamua kwenda kufungua biashara Mecca
 
Mmiliki wa JF yupo hapahapa, hawezi kukubali kufunga wala kukataa kutofunga bila sababu za msingi.
Ameamua kuwanyima access kwa sababu hawana sababu za msingi
Wewe unafikiri hata kama JF hawataki uwezo wakuifunga upo maana hapo sio yeye bali IXP na ISP kazi yao ni wakuzuia tu bila hata JF kutoa kibali na hawana uwezo kurejesha huduma subiri utaona tu ,usidhani inashindikana hivyo IXP zipo MWANZA ,DAR,ARUSHA na ZANZIBAR na ISP ndipo wanapopitia humo kuzuia network traffic wapendavyo wao ili uendelee kutumia huduma tumia VPN na ukitumia zile za Free pia kunauwezekano wakakuuza VPN zenye usalama ni zile za kulipia tu.
Tena wakaze sana na JF waipige pin watu wanatukana Rais then wanapewa blue tiki na twitter ungekuwa wewe ungefanyaje na ukumbuke hata yeye ana moyo na ndugu zake wanaumia kwa kashfa za Kigogo ,jiulize hadi anasema anapenyeshewa inshu na wajeda wewe huoni hapo lengo lake nikutuweka matatani na amani yetu tena anasema hadi wajeda wanamlaumu CDF kwakweli hata kama ni mimi napiga pini na Tanzania sio peke yake inafanya haya mfano Kenya kuna IXP mbili ,South zipo 6 kabisa.
Magufuli mitano tena .
 
Nimesikitishwa kitendo cha star TV kukata matangazo ya BBC kisa tu walikuwa wanatoa taarifa ya mauaji ya watanzania wenzetu yaliyotokea leo huko zanzibar. SHAME ON YOU STAR TV kipi mnachoficha
Wanaficha ili tusione wakati tayari tumeshajua #fid q
 
Nakumbuka mgombea wa chama cha Polepole alisema, anatamani malaika washuke waje wazime hii mitandao. Naona tayari malaika wa Chato ameshafanya yake
 
Wewe unafikiri hata kama JF hawataki uwezo wakuifunga upo maana hapo sio yeye bali IXP na ISP kazi yao ni wakuzuia tu bila hata JF kutoa kibali na hawana uwezo kurejesha huduma subiri utaona tu ,usidhani inashindikana hivyo IXP zipo MWANZA ,DAR,ARUSHA na ZANZIBAR na ISP ndipo wanapopitia humo kuzuia network traffic wapendavyo wao ili uendelee kutumia huduma tumia VPN na ukitumia zile za Free pia kunauwezekano wakakuuza VPN zenye usalama ni zile za kulipia tu.
Tena wakaze sana na JF waipige pin watu wanatukana Rais then wanapewa blue tiki na twitter ungekuwa wewe ungefanyaje na ukumbuke hata yeye ana moyo na ndugu zake wanaumia kwa kashfa za Kigogo ,jiulize hadi anasema anapenyeshewa inshu na wajeda wewe huoni hapo lengo lake nikutuweka matatani na amani yetu tena anasema hadi wajeda wanamlaumu CDF kwakweli hata kama ni mimi napiga pini na Tanzania sio peke yake inafanya haya mfano Kenya kuna IXP mbili ,South zipo 6 kabisa.
Magufuli mitano tena .
Kwan wew rais akitukanwa kwa ujinga wake inakuuma nini? Kutukanwa rais au mtu kama wewe!?
Mbona mnawatukana viongozi wengine, au hao hawastahili kuheshimiwa isipokuwa rais??
Rais amekuwa nani asiyekuwa na nyama na damu kama binadamu wengine

Inaonekana kwako nchi ni Rais na si maisha ya wananchi. Pole
 
Ukiwa huwajui watanzania hiyo ni hoja dhaifu ila ndio kesha fail

Niliwahi kusema mwanzoni kabisa kwamba kampeni za tundu kwa watanzania zilikua sawa na mfanyabiashara wa beer na kitimoto aliyeamua kwenda kufungua biashara Mecca
Hehehee unajipa moyo kweli. Magufuli mwenyewe kaamua kuachia tiss na Tume imsaidie kwa kuogopa kushindwa wewe mshindia makande unasema nini?
 
Huyu ni mwoga, dicteta, muuaji,mpumbavu, anayeendesha nchi ki pumbavu, anasukumwa na mihemko yake ya kipumbavu.
Huyu jamaa mzee wa magoti nimemshangaa sana. Hta kuiba kura pamoja na kuwa na nyezo zote bado hajui. Duuh kuna watu washamba sijapata ona. Kule Zanzibar kulikuwa na haja ya kupiga mara mbili? Inamaama think tank yake ndio walikuja na mbinu hiyo ya wazi kabisa? Swala la kuteka na kuwanyima mawakala viapo ndio mbinu alikuwa nayo? Sasa tunaongozwa na watu wenye uwezo mdogo na nchi hii haitakaa ipate maendele lo kamwe.
 
Upumbavu kama huu ndio maana selikali inazima mitandao.

Yani uharo kama huu na wewe unabeba kama ulivyo na kuuleta humu?
Hiyo ni hoja, ijibiwe kwa hoja si kuzima mitandao. Hivi huyu anashindwaje kutuamrisha tulale saa 10 jioni? Simchagui mpuuzi huyu.
 
Wazee wa kamati ya AMANI wametulia kama hawapo
Tatizo kubwa la sisi watanzania wengine ni kutaka watu watufanyie mambo kwa niaba yetu. Mazee ukombozi utaletwa na sisi wananchi na tusitegemee wachumia tumbo kutusemea. Huu udhaifu anaujua sana huyu diktekta uchwara na ndiyo unaompa jeuri. Tungekuwa na umoja na tukakiwasha kwa umoja wetu kama wanavyofanya Kenya haya yasingetokea.
 
Hehehee unajipa moyo kweli. Magufuli mwenyewe kaamua kuachia tiss na Tume imsaidie kwa kuogopa kushindwa wewe mshindia makande unasema nini?

Mimi na washindia kande wenzangu tunasema nyie wala hamburgers wa Ubelgiji mkampigie kampeni hukohuko kwenu

Heri tujilie makande yetu kuliko hamburgers za kuturudisha utumwani
 
Back
Top Bottom