Uchaguzi 2020 Nilikuwa siamini, sasa nimeamini uchaguzi huu ni muhimu sana

Sasa hizi hasira zako unamtolea nani hapa? Jinga kweli wewe!

Nenda kajinyonge ufe! Selikali ndio imezima sasa ili kuzuia kusambaza takataka zenu. Kama vipi kinukishe, si Lisu wenu kasema kinukisheni?
Wambieni wazime upande wa CHADEMA & ACT tu, ili nyie muendelee kuiperuzi hio mitandao
 
Watanzania kibao wana wanasheria nje. Acha hizo. Kaongee na matajiri wote wakubwa utagundua wote wana firms za sheria nje wanawatumia. Hata Marehemu Mengi at times alishakuwa nao. Yaani zero IQ ndiyo tatizo letu tunawaza mwisho pua.
Hao wanasheria wao binafsi huwa wanaingilia mambo ya taifa la tanzania ikiwemo kuwapigia kampeni wateja wao?

Amsterdam kuwa mwanasheria wa Lisu ni sawa, lakini hii ya kuingilia mambo ya uchguzi yeye ina mhusu nini?

Kwanini anataka kutuchagulia mtu wa kumpigia kura? Yeye kama nani wakati si raia wa taifa hili? Wana makubaliano gani na Lisu?

Yeye Lisu anatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam mpaka anaacha kazi zake kumpigania Lisu awe rais wa tz?

Na Lisu alivyo mbumbumbu wa siasa anafikiri ataungwa mkono na wenye akili?
 
Wambieni wazime upande wa CDM&ACT tu ,ili nyie muendelee kuiperuzi hio mitandao wapu.mb.vu nyie maccm.
Hata wao wanaumizwa, ila wamejitoa ufahamu. Na wengi wao hawakupakua VPN maana walidhani haiwezekani
 
Anayesema mitano tena sio ng'ombe ni Watanzania na hicho ndicho wanachokwenda kufanya in less than 10 hours to come.
Kwa sasa, endelea kuita ng'ombe, kesho baada ya matokeo, tutaheshimiana tuu.
P
Hayo matokeo ya wizi? Huko Bunda mjini zinapikwa kura kwa sasa. Acha free game kama maji haitakuwa mma. Kama unaamini ushindi kwa nini kutumia nguvu kubwa hivi? Tanzania hatukutegemea tutafikishwa hapa. Tumegeuka nchi ya Dictotorship? So sad.
 
Ni kweli ila ningeumia zaidi kuona tunaingia kwenye matatizo kwa ajili ya uchochezi.
 
Nachokiona kwenu ni kumezeshwa ujinga na mmeumeza kweli

Unapaswa kujua tu, hakuna nchi ya sub-sahara inayoweza kujiendesha bila hao mnaowaita mabeberu na ikawa strong, haipo.

Mnachofanya ni kuuchukia wimbo huku mnatikisha vichwa
 

Kesho tukapige kura
 
Natabiri baada ya mh. Magufuli kushinda kwa kishindo kama wengi tunavyo tarajia kuna jina watu watabatizwa MAWAKALACCM๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

MAGUFULI4LIFE.
 
Ni kweli ila ningeumia zaidi kuona tunaingia kwenye matatizo kwa ajili ya uchochezi.
Kwa hakika hakutakuwa vurugu, sioni sababu ya vurugu. Ila kwa hili, linafanya watu wawe na hofu.
Hata ambaye si mtumiaji wa mitandao hii, anajiuliza nin kimekusudiwa kufichwa!?
Maswali yenye majibu hasi n mengi kuliko yenye majibu chanya.
Ni Bora wangetoa taarifa tu
 
Kwa kuwa inajulikana ushindi CCM 2010, 2015 ilikuwa ni mashaka basi alijua 2020 ndiyo tatizo zaidi. Na amejiandaa kisheria na ni haki yake. Katiba ya nchi haimzuii

Na agenda kubwa kwake kwa sasa ni Uchaguzi na ndiyo mwanasheria atatumika kwa agenda iliyopo jikoni. Iwe fair game tu na alisema hana shida

Kama mnajiamini ni kwa nini nguvu zote hizo?

Mungu ametuletea Mkombozi. Leo mara ya kwanza kwenye huu Uzi natamka "NiYeye2020". Lissu amekuja kuturejeshea uhuru na haki zetu.
 
Nachokiona kwenu ni kumezeshwa ujinga na mmeumeza kweli.
Unapaswa kujua tu, hakuna nchi ya sub-sahara inayoweza kujiendesha bila hao mnaowaita mabeberu na ikawa strong, haipo.
Mnachofanya ni kuuchukia wimbo huku mnatikisha vichwa
Usichokielewa ni kwamba hao hawaleti hela bila wao kupata returns!

Sasa wewe umekalilishwa na Lisu kwamba tz bila wazungu hatuwezi kuishi. Kauli kama hii inatoka kwa mgombea urais ni uzwazwa huu?
 
Bado JF wanalima freebasic na vyote sisi hatuli twitter tunahitaji maendeleo, haiwezekani watu wanatukana Rais then twitter iwape tiki ya blue kwa hivyo lengo lao nikutuletea machafuko!

Kesho ni JPM tu atosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ