Nilikuwa siamini, sasa nimekubali "BIKIRI ZIPO"

hakuna zawadi ambayo mkeo anayoweza kukupa zaidi ya ukimkuta bikra ina heshima sana ktk ndoa.imagine hujaikuta hujui kina nani walipita na yule wa kwanza kuitoa siku yoyote akimtokea wife anampa huwa hawamsahau
kweli kabsa-wakikutana lazma wakumbushiane
 
msidanganyike! Kuna mdada tumesoma chuo kimoja vijana wanasema kila aliyekuwa anakutana nae faragha anaikuta na kelele za kupretend kuumia kama kawa. Hivyo nawashauri vijana kuwa hicho kisiwe kigezo Na moja, kama anakupenda anakupenda tu
 
msidanganyike! Kuna mdada tumesoma chuo kimoja vijana wanasema kila aliyekuwa anakutana nae faragha anaikuta na kelele za kupretend kuumia kama kawa. Hivyo nawashauri vijana kuwa hicho kisiwe kigezo Na moja, kama anakupenda anakupenda tu

daah.............!
mtu unadhani umelamba king kumbe galasha.............!
wanatumia nini kuirudisha...............!
wanawake noma kila kitu tunachokipenda hawakosi mbinu yakukitengeneza feki,refer makalio na boobs fake............!
 
Take it from me, I have lived in those place far more than you can imagine. -Really bikra zipo-Fake zipo-Uzinzi upo-Ulevi upo-Lesbo wapo-Gays wapo. Also, note that the number of really virgins maybe outnumbered the fake ones, because to have your membrane replaced, you need to travel outside the country. None of the clinics or any other institution is allowed to perform these procedures, so very few people travel outside the country to have their things fixed.

Open uzinzi, lesbians and gays will never find, who ever caught face criminal charge. The good things is about AIDS, you rarely heard or meet people suffering from it. AIDS check is done on arrival, you won't be granted with residence unless you're checked, pili if happens to be local utakuwa isolated (everyone fears about it). The rate of infected are as minimal as you can imagine below 1000.
 
yaani mpaka uende nchi za watu ndio ujue kama kuna bikira duniani? mbona hata hapa kwetu bikira zipoooo????πŸ˜›arty:πŸ˜›arty:
 
yaani mpaka uende nchi za watu ndio ujue kama kuna bikira duniani? mbona hata hapa kwetu bikira zipoooo????πŸ˜›arty:πŸ˜›arty:

Zipo lakini mafataki ndio wanazozifaidi....
 
yaani mpaka uende nchi za watu ndio ujue kama kuna bikira duniani? mbona hata hapa kwetu bikira zipoooo????πŸ˜›arty:πŸ˜›arty:
name ya fab inanikumbusha mbali sana. Wakati mwingine mtu ukianza kufikiria vichaka ulivyopita wakati wa ujana, unaweza kudhani siyo wewe
 
Na ndio maana kwenye nchi kama hizo tatizo la ukimwi wanalisikia kwenye bomba huku kwetu hata ukitaka mke wa mtu unagonga acha hao wasichana ambao hawajaolewa na hawana mwenyewe............

Utajua tu miandiko yao na fikra zao...Heri yako mkuu..na ndio maana hizo nchi wanajitoa mha nga kuua wasio dini zao eti kupata bikira 72...
 
Je vipi rate ya maambukizi ya UKIMWI ikoje ?

Wanajifanya eti mabikra tigo je?mie na rafiki yangu nchi hizo hizo unazotaja aliendaga huko kula book kazi ikawa night wanakuja na baibui zao kuliwa then wanatambaa zao....hawana lolote hao na wewe tunakujua kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…