Habarini wanajamvi,
Acha kwanza nicheke hahahahaahaa na huo msemo tajwa hapo juu zamani kipindi kile nasoma nilikuwa nawasikia tu maBro wakisema dogo sina hata mia mimi kwa uelewa wangu mdogo nikadhani kama wananipanga tu yaani unakosaje mia kwa mfano.
Leo hii nimekuja gundua ni kweli mtu akisema sina hata mia anamaanisha nini
Je, wewe hii hali ishawahi kukutokea?
[emoji116][emoji116]