Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Kudhaniwa tiss raha sana huku mnapopaita mkoani ninapoishi kuanzia kazini hadi mkuu wangu wa idara hunidhania hivyo kwakuwa Mimi muda mwingi nipo kimya sina stori nao zaidi ya kichat jf naongea zangu na simu.. Basis Mimi wakinidhania hivyo sikubali wala sikanushi nawaaacha njiapanda
Yes, kudhaniwa ni TISS ni maujiko, kunasaidia ili watu wasikudhanie wewe ni mtu wa mchezo mchezo, na usikute ndio maana hata siku ile niliruhusiwa kuingia ikulu.
P
 
Hapa ninapoishi, usafiri wangu ni boda boda, nyumba haina uzio wala geti, boda boda yangu inalala nje, nguo tunaanika tunalaza nje. Majirani wana mageti na walinzi, wanavunjiwa na kuibiwa, lakini mimi hata kibaka tuu anapita mbali.

Kwenye appointments za kufanya interviews, sikataliwi, hata siku ile pale ikulu, nadhani nilipata fursa ya kuuliza swali kwa fikra hizo hizo.

Tatizo ni ukifanya kazi kwenye madudu, wafanya madudu wanakuwa very uncomfortable, nilipokuwa TBC, boss wangu alikuwa very uneasy na mimi, kila nikibuni trips za overseas approval ni faster faster.

Hata humu jf, watu wananiheshimu fulani na nimeisha ripotiwa kwa Max na Mike.
Ni heshima kubwa kulitumikia taifa at that capacity.
P
 
Ule mtandao wa wikilikisi utatoa uzi muda siyo mrefu
 
Mkuu bado unayoileile ambayo ulikuwa unaenda nayo hadi Moro xl
 
Mkuu bado unayoileile ambayo ulikuwa unaenda nayo hadi Moro xl
No sijawahi kuwa na xl, ninayoitumia is now just parked nje kwangu. Nilikuwa naipigia trips za Arusha, Iringa, Dodoma etc.
Wakati ule wa Moro, nilikuwa nafanya Maonyesho ya Nane Nane Moro, mimi nakaa Dar, asubuhi naenda jioni narudi Far Moro ni just 90 min, Dar-Dodoma 4 hrs. Dar Moshi 5 hrs.
P
 
Great man.. Nilisomaga Uzi kuhusu kuendesha pikipiki kwa umbali huo one day nikajitungua kutoka dar hadi Moro aisee ilikuwa great adventure
 

Pascal nakushauri hamia Zimbabwe
 
in fact sijawahi kuona mfalme akilindwa kiasi kile. inasemekana ni Kweli Guam mfalme wake analindwa na wajeda wa nchi jirani.
guam ni kisiwa cha amani dunia. Mitutu ya nini hadharani.? Mfalme wetu tuna amani usiogope
 
Kwa sasa you are no longer the former one.You are selling the nation for your lust of power and your stomach.Or you had your orders on what to do when you were questioned at parliament or state house.
Hakika wasomi wa bongo ni wafia tumbo
 
Rwandani.Wamemshika pabaya mkulu.
Wageni.wamelaza na usingizi fofofo.
RIP Tanzania.
Kama naanza kupata picha vile! Japo sijaiamini sana hii picha ila siielewi.. Juzi kati kama week 3 zilizopita nilikuwa naenda maeneo yangu ya kusaka tonge (bandarini). Nilikua na mchongo mmoja ulinilazimu kutoka home asubuh sana.
Muda wa saa 12 asubuh nilipokua mitaa ya uhasibu jirani na kambi ya mgulani... Niliona wajeda kadhaa wenye kwanda zilizochafuka na mabegi makubwa wakiingia kwenye ndinga moja la maana ila wajeda walikua wana bendera za Rwanda mabegani mwao. Nilishangaa kdg ila nikachukulia poa tu,
Mpaka leo nachukulia poa naamin labda kulikuwa na training fulani ya ushirikiano wa nchi hizo...

Anyway naamin hivyo na tuaminini hivyo.. Sidhani kama watanzania waliopewa dhamana ya ilinzi wa nchi na wananchi watakuwa wazembe kiasi hicho kurusu wageni wapenye maeneo nyeti.... No!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…