Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Mkuu Britannica, kwanza usiamini kila unachosikia, kuna vingine ni kweli na vingine si kweli, mfano hili la kulindwa na jirani, sii kweli.

Pili sio kila ukweli unaousikia ni lazima uuseme, ukweli mwingine, unasikia na kumezea au kukaushia tuu.

Huwa nakumbuka siku ile ulivyompiga swali mkulu pale magogoni akaishia kusema mayala kwa kikwetu ni njaa.Hivi ulipata wapi ujasir ule? 😎
 
Mkuu concordile, huu ni uongo mtakatifu, sema tuu Mkuu Britannica ana kipaji cha kukubalika, hata akidanganya uongo wake unachukuliwa kuwa ukweli, siamini huu uongo wa bandiko hili umeaminiwa hadi umefika page 20!, jambo hili ni uongo, haliwezekani, kwa sababu mimi mwenyewe tuu hapa ni mjenda, kati ya taasisi inayoongoza kwa vetting ya security ya usalama ni PSU, wanakuja TISS, wanakuja JWTZ ndipo inakuja serikali.
This is next to impossible, but wana jf ni watu wa ajabu kweli, yaani wananwanini Britannica kuliko hata mimi ninayefanya ukweli wangu, tena nilikuwa mjeda!, Unless mimi ni zilipendwa na Britannica naye awe ni wale wale wa sasa waliopo, vinginevyo believe that and you'll believe anything.
P
Malizia tu kuwa sasa upo huko jikoni kwenu TISS tukuelewe
 
Point yangu sio kwamba naamini unachokisema wala nini hapana. Ukweli uko wazi kuwa tuliyenaye yuko kwa minajiri ya kuangusha uchumi hilo liko wazi, na tena wewe ni mmoja wa wanaomsapoti, katika fuatilia yangu sijaona posts yoyote ambayo inamzungumzia mfalme huyo vibaya ambayo uliwahi kuisapoti namaanisha baada ya 2016. Je kwanini nisiamini ya kuwa kuna walinzi toka rwanda ambao wanamlinda. Maana hata kwa macho tu jinsi mambo yanvoenda hata kma ni mwizi kivipi ila mtanzania, hawez fanya anayoyafanya. Kitu ambacho namaanisha inawezekan na ninaombee isewe kweli, lakin pia siwez kuamini chochote toka kwako, wewe na musiba hamna tofaut. Utofaut unakuja jinsi tu mnavotafuta vyeo.
Nikukumbushe tu pascal hii nchi ikianguka si wewe wala babu yako atakuwa salama haijalishi una phd au triple phd za elimu utafulia tu. Badala ya kulilinda tumbo lako sasa hivi tupigane kuikomboa nchi yetu isiingie katika vurugu.
Bahat mbaya naweza sema unaweza jikuta katika hangaika yako hujawahi gusa nchi zenye vurugu kama Drc,Burundi,south sudan na the like. Nakushaur ebu jaribu tembelea hizo nchi ukimaliza ebu tembelea kwenye kambi za wakimbizi popote dunian uone jinsi wenye elimu zao kama nyinyi walivorostika.
MARA MIA NIMUAMINI BRITTANICAA NA UONGO WAKE AMBAE WALAU ANAONEKANA ANAUMIA NA YANAYOENDELEA HATA KAMA NI MATANGO POLI KULIKO NIKUAMINI PASCAL AMBAE NAJUA KABISA MAANDISHI YAKO YAPO ILI UPATE CHEO
Duh!, yamekuwa haya!. Kati ya freedoms zote, only the freedom to think ndio absolute freedom, mtu uko huru kuwaza chochote kuhusu yoyote au jambo lolote, hivyo nayaheshimu mawazo yako kuwa natafuta uteuzi.

Ukipata muda tembelea nyuzi hizi uone jinsi watu tunavyojituma kutafuta teuzi.

Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa kiuchumi? - JamiiForums

Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows!.

Jee Maendeleo ya Kweli ni Maendeleo ya Watu au Vitu?- Wachumi Tusaidieni, Magufuli Analisaidia Taifa au Ataliangamiza?.

Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye, Tusidanganywe, Tusidanganyike!
P
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
Takataka
 
Pascal sikuelewagi unampigania Nani katika nchi hii!
Nachoona unapigania tumbo lako maana jinsi unavyotanaani kuwa everybody's darling sio kawaida!
majina yanaumba, ukimuita mtoto Havijawa atakuwa Havijawa..heshimu sana jina la ukoo, wakati linatolewa kwetu uko lilitolewa kubeba maana halisi ya nature ya wahusika kupewa jina.So what goes around comes around..
 
Pascal sikuelewagi unampigania Nani katika nchi hii!
Nachoona unapigania tumbo lako maana jinsi unavyotanaani kuwa everybody's darling sio kawaida!
Kumbe kuna watu mnapigania watu hadi kuulizana unampigania nani?. Mimi ni mzalendo wa kweli wa nchi yangu, simpiganii mtu bali naipigania nchi yangu kwa kutanguliza mbele maslahi ya Taifa.
P.
 
FFU au KM ya magereza tanzania ni zaidi ya jeshi la Rwanda kimbinu na kiufanisi. Askari wa rwanda wanakuja sana monduli kupata training alafu wao ndio waje wamlinde jiwe labda.
 
Back
Top Bottom