baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,129
- 4,028
Nilisubiri u comment mkuuHivyo ni vikosi saidizi au "auxiliary force" au kwa lugha ingine "paramilitary force".
Lakini mbona wanaonekanana wazi?
Sema hawakuwahi kuonekana kwenye hali tofauti ya hewa hapo kisiwani Guam.
Inakubalika kabisa hiyo, khasa baada ya jamaa wale kugundulika mipango yao halisi na jamaa zao wahisani.
Ila mkuu, fuata ushauri wa Pascal.
Btn the lines inabidi wasomaji wapitie hapa wakiunganisha na mabandiko ya Kaka Paskali