Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Pole mkuu watu wa jamii yenu huwa mnaelewa taratiiiiiiiiibu sanaaaaaaa na hata sasa yapo mengi mnooo bado utaendelea kusema si kweli ila ipo siku utakuja hapa jukwaan kusema unasikitika kugundua kuwa kitu fulani hukuwa unaamini ila sasa umeamini na umesikitika sana. Kwa taarifa yako hata Mkuu wa Gesh la Gwam hana ushawishi kwa walio chini yake na anadharaulika na wanamuita 2GB wakimaanisha hana capacity kwa position aliyo nayo!
Aisee!
Kama ni kweli, hili ni tatizo!
 
Hizi zote ni story za vijiweni, ba sidhani kama una uhakika na unachosema.

Unawafahamu hao waasi? umekaa nao?

Je wafahamu lengo la uasi wao?

Umeishi huko Vietnam?

Unafahamu kwanini wanajeshi walinda Amani wanavamiwa sana sasa hivi kuliko zamani?
Naomba na mimi nikuulize kidogo je Uhusiano wa Kiongozi wa Guam aliyepita na huyu Kiongozi wa hako kanchi inakosemekana ndio kametoa ulinzi kwa huyu kiongozi wa sasa kule Guam ulikuwaje? na chanzo cha mgogolo wao kilikuwa nini?
 
Naomba na mimi nikuulize kidogo je Uhusiano wa Kiongozi wa Guam aliyepita na huyu Kiongozi wa hako kanchi inakosemekana ndio kametoa ulinzi kwa huyu kiongozi wa sasa kule Guam ulikuwaje? na chanzo cha mgogolo wao kilikuwa nini?

Uhusiano haukuwa sawa khasa baada ya ile kauli ya kiongozi aliepita wa Guam ya mwaka 2013 kwamba huyo kiongozi wa hako kanchi akae meza moja na waasi wa lile kundi, azungumze nao.

Lakini pia kuna mambo mengine mengi tu ambayo watu wa ndani kabisa wanayafahamu na hayawezi kuwekwa mbele ya umma yaani "public domain".

Ila kikubwa ni kwamba nchi hizo mbili zilikuwa katika kugombania kitu chaitwa "sphere of influence" yaani himaya katika eneo la maziwa makuu yanayozunguka kisiwa cha Guam na hako kanchi.

Halafu kuna suala la wakimbizi wa hako kanchi ambao mwaka 2003 walifukuzwa na ile move ikaonekana kwa kiongozi wa hako kanchi kwamba ni politically motivated.

Pia rejea au kama wafahamu mtu mmoja aitwa jina laanzia na P na kuishia na jina la ubini la K ambae alikuwa ni jasusi na alikuwa akiingia sana hapo Guam kuja kupiga soga.

Majasusi wa hako kanchi walikuwa wanamwangalia tu na kumpa taarifa kiongozi wa hako kanchi kwamba jamaa ana ratiba kadha wa kadha huko Guam.

Nafikiri ntakuwa nimekupa dots za kuunganisha.
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
Na usalama wa nchi ya Guam umewekwa rehani.
 
Bora wanyarwanda watuteke tu tuwe sehem ya nchi yao maana naona kagame ana akil kuliko wa kwetu
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa
Guam
Nchi ya wapiga soga!!!
 
Back
Top Bottom