Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Haya msemaji wa ikulu mwanausalama mitandaoniHujiamini hata kidogo....woga wako umasikini wako...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya msemaji wa ikulu mwanausalama mitandaoniHujiamini hata kidogo....woga wako umasikini wako...
Aisee!Pole mkuu watu wa jamii yenu huwa mnaelewa taratiiiiiiiiibu sanaaaaaaa na hata sasa yapo mengi mnooo bado utaendelea kusema si kweli ila ipo siku utakuja hapa jukwaan kusema unasikitika kugundua kuwa kitu fulani hukuwa unaamini ila sasa umeamini na umesikitika sana. Kwa taarifa yako hata Mkuu wa Gesh la Gwam hana ushawishi kwa walio chini yake na anadharaulika na wanamuita 2GB wakimaanisha hana capacity kwa position aliyo nayo!
Kwa meno?Wanabangua Korosho
Naomba na mimi nikuulize kidogo je Uhusiano wa Kiongozi wa Guam aliyepita na huyu Kiongozi wa hako kanchi inakosemekana ndio kametoa ulinzi kwa huyu kiongozi wa sasa kule Guam ulikuwaje? na chanzo cha mgogolo wao kilikuwa nini?Hizi zote ni story za vijiweni, ba sidhani kama una uhakika na unachosema.
Unawafahamu hao waasi? umekaa nao?
Je wafahamu lengo la uasi wao?
Umeishi huko Vietnam?
Unafahamu kwanini wanajeshi walinda Amani wanavamiwa sana sasa hivi kuliko zamani?
Wewe Britannica wewe, Katto akikusikia, shauri yako.
P
Naomba na mimi nikuulize kidogo je Uhusiano wa Kiongozi wa Guam aliyepita na huyu Kiongozi wa hako kanchi inakosemekana ndio kametoa ulinzi kwa huyu kiongozi wa sasa kule Guam ulikuwaje? na chanzo cha mgogolo wao kilikuwa nini?
Na usalama wa nchi ya Guam umewekwa rehani.Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Believe that and you'll believe anythingHapa kuna ukweli kiongozi sijaona hoja yako
Kuna koro show siyo koroshoKwani Guam kuna korosho?
this can't be true kwakeli. Tuachane na hayo mi naomba kujua jina la huyu mwenye kizibao hapo pembeni
View attachment 945566
Na usalama wa nchi ya Guam umewekwa rehani.
Kama kufuata protocol kungepewa kipaumbele,hii nchi isingekua hivi ilivyo.Sidhani Kama protocol zinaruhusu raising alindwe na Raia au ulinzi binafsi achilia mbali wanajeshi toka nje ya nchi. Haiwezekani
kwa heshima yako nimefuta!Mkuu, mbona wachanganya madesa?
Hapa twaongelea kisiwa cha Guam.
[emoji116] yumkini togwa liliingia majiWanaoinajisi nchi ni wale wamepewa dhamana ya ulinzi wa nchi na wanabung'aa tu macho.
Kuna siku moja kuna mtu alisha wahi kuleta thread humu akisema, ofisi za kutengenezea kaunda suti wanapanga mikakati ya kumdhuru mzee wa mila wa hicho kiziwa cha Guam
Nchi ya wapiga soga!!!Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa
Guam