The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,947
Nimekuelewa sana.Hapo nilimaanisha kwamba/au niulize kwamba. Inamaana hakuna mfumo wa ulinzi ambao haumuhusishi rais? Mfumo ambao unajitegemea kiasi kwamba hata mkuu wa nchi akionekana anazingua una nguvu ya kudhibiti!
Kwamaana hiyo, kila raisi anapoingia anakuja na mfumo wake wa ulinzi wa nchi? Ina maana usalama wote wa nchi upo mikononi mwa jiwe?Nimekuelewa sana.
Kwanza elewa, huyu mTanzania nambari wani. Hiviunaelewa anacheo gani kwa hao waTanzania maalum unaowazungumzia?
Hivi unaweza kuelewa maana ya 'Amri' kwa hao jamaa inapotolewa na huyo mTanzania maalum!
Ni nani kati ya hao waliomo kwenye utaratibu unaouzungumzia anayeweza kuweka ubishi mbele ya 'amri' ya mTanzania huyu.
Unaweza kusema watu hao unaowazungumzia wapo nje ya kundi la hao wasio uliza ikitolewa amri.
Haya, kwa sasa kundi hilo utalitoa wapi. Hebu piga akili ujiulize kwa hali ilivyo sasa hivi.
Wewe huoni hata akina Mwinyi ni kauli za kujichanganya na kujiuma uma tu kwenda mbele? Ni nani unayedhani anaweza kukohoa kwa lolote.
Uzalendo ni pamoja na kujivunia kilicho chakoHata akilindwa kwani imeleta shida gani?? Kwamba watapewa siri za nchi..?? Siye tunajuaje kama kagame halindwi na wa huku pia..au museveni au kenyata..?? Mbona prof lipumba alikuwa mshauri wa masuala ya kiuchumi wa museven..vitu vingine ni kukosa hoja..zitto na lissu wanajua hilo?washtue kama hawajui ili wapost
we brother Pascal Mayalla naona huu uandishi uliotukuka hujawahi kuuacha. Mimi nikupongeze tu mtu kutoka GuamMkuu Britannica, kwanza usiamini kila unachosikia, kuna vingine ni kweli na vingine si kweli, mfano hili la kulindwa na jirani, sii kweli.
Pili sio kila ukweli unaousikia ni lazima uuseme, ukweli mwingine, unasikia na kumezea au kukaushia tuu.
Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums
P
Hili sio swali, ni jibuKwa hio pasco..tanzania tuna DIKTETA mzalendo?
Acha hasira mzee hii michezo haitaji hasira hizoPumbavuuuu kabisa!!!!hizi taarifa za kishenzi huwa mnazitolea wapi????haiwezekani na haitawezekana!!!!!vyombo vyetu vya ulinzi vipo imara kufanya ulinzi kwa VIP's wote
Naungana na wewe,wale jamaa salute kwao walikuwa professional sana..nakubaliana na wewe kwamba tukio lile lilikiuka maadili. Ule ulikuwa ni UNYAMA.
..lakini natofautiana na madai yako kwamba ni tukio la kizembe, au aliyelitekeleza alikuwa mzembe.
..kwa maoni yangu waliotekeleza tukio lile ni watu waliofuzu na mahiri ktk kutumia automatic rifles.
..ndani ya muda mfupi, na katika mazingira magumu ambapo mlengwa hakuwa katika eneo la wazi, waliweza kurusha risasi 38 na kati ya hizo 16 zilimpata mlengwa.
..maana yake ni kwamba kwa kila risasi 2 walizorusha, 1 ilimpata mlengwa.
..kwa wenye uzoefu na automatic rifles watakubaliana na mimi kwamba washambuliaji walikuwa ni PROFESSIONALS.
..lakini pia washambuliaji hao waliweza kutoroka eneo la tukio bila KUKAMATWA na mpaka leo hii imeshindikana KUWATAMBUA.
..Again, natofautiana na wewe unaposema shambulizi lile ni la kizembe au lilitekelezwa na watu wazembe.
wenzio wanaongelea mfarume wa GUAM wewe unakurupuka na JIWE... hovyo kabisaa...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
anaongelewa ni mkuu wa GUAM so hata akimsikia atafanya nini na mtu yupo kwake bongo na GUAM ni mbali sana😛😛😛Wewe Britannica wewe, Katto akikusikia, shauri yako.
P
home boysJiwe haamini mtu kutokana na matendo yake!
Ni kweli kabisa, kama ambavyo haiwezekani kwa:-...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Kwa akili za Mange kimavi Magu ni mhutu anayelindwa na watutsi,yaani kachemsha hata mtu asiyejua propaganda anajua mhutu na mtutsi hawaezi kuaminiana kwenye issue za ulinzi.Ukiona mtu anatoa shutuma dhidi yako na huzijibu wala kuzipinga basi "watasha" tunasema "there is a hidden truth, somewhere"..Yule dada (waliyempachika jina la Kahaba) kule Kwa Trump alisema kuwa Mkuu si Mtanzania (ni Mhutu aliyekuja na Mama yake kabla hajaolewa na kuzaa watoto wengine na Mzee Joseph)....Lakini Pia alishutumu Kwa "Uhakika wa Kiapo" kuwa Mkuu Analindwa Na "Watutsi" badala ya "Wabantu Wazawa wenzetu" ..shutuma zote hizi Nzito hazikujibiwa eidha kwa kuzipinga kwa ushahidi wa kweli au wa uongo hasa ikizingatiwa yule dada kule ng'ambo ana ushawishi mkubwa na "wafuasi" wengi wanaomwamini hivyo kuleta sintofahamu nyingi kwao.....Mkuu britanicca Kwenye hili Ukweli upo Mahali Fulani maana Waswahili husema "Lisemwalo Lipo".
Huna ujualo bora uendelee kutojua maana ukijua utafaidika sana.Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Mmmmhhhh[emoji2960][emoji40]Acheni uchochezi na wivu, nchi yetu imepiga hatua sana mpaka wanajeshi wa nchi nyingine wanajikuta wanashindwa kujizuia mpaka wanaamua kuja kuomba ajira kwenye nchi yetu, hili ni jambo la kupigiwa mfano duniani kote. Hakuna nchi yoyote iliyoweza kuweka "vivutio vya wanajeshi" kama nchi yetu tukufu. Na hizi ni "juhudi" kubwa za raisi wetu mtukufu na sasa ni dhahiri shairi tunaenda kuishinda hii "vita ya kiuchumi".
Naungana na wewe,wale jamaa salute kwao walikuwa professional sana
Ulivyoiweka haya kama kwa kukisia tu - chukulia kuwa kwa wakati huu tulionao, huko si kukisia tu; ni uhakika mtupu!Kwamaana hiyo, kila raisi anapoingia anakuja na mfumo wake wa ulinzi wa nchi? Ina maana usalama wote wa nchi upo mikononi mwa jiwe?
Sawa yeye ni amirijeshi mkuu. Kwahiyo akiamua asitoke hakuna atakayemtoa! Na kwasababu mfumo upo hivyo inamaana raisi wote waliopita waliondoka kwamazoea tu ila wangeamua wangekaa madarakani coz wao ndio final say! Hakuna chombo chochote kilichopo juu yake!