Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
kwn mwenyewe huyo mtoto wenu?.........


analindwa na nduguze
 
Tumeanza kuongea lugha moja sasa mpaka 2020 mtakua na akili,huyu jamaa asili yake ni muhutu yani muhamiaji haramu ndio mana anaiba mchana kweupe ila mwisho wake utakua mbaya sana
 
...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Watu wanajaribu kuchokonoa mambo makubwa ambayo hawana uwezo wa kuyaelezea.Kuna watu hawalali kwa usalama wa Taifa letu na tutumie njia zinazostahili kama tuna mashaka na mambo haya makubwa.Njia mojawapo ni kamati ya bunge inayohusiana na mambo hayo.
Tumetetreka katika demokrasia lakini bado sisi ni stable kuliko nchi yoyote na tujikumbushe tu Marehemu Jumbe kwenda Dododma na vin'gora na kurudi bila cheo.Watu hawa wakiamua kujenga hoja hata kama ni Raisi ataondoka.
 
Sidhani ...labda kama security circles za huko jirani ziwe ni zetu since kp "alipowekwa" madarakani. Yaani mossad kumlinda Trump ....
mkuu mtazamo, ujue kuna watu humu humu waliongelea hata uraia wa jamaa, hata hili limeongelewa sn hapa jukwaani......


something isn't right, somewhere......
 
Pole mkuu watu wa jamii yenu huwa mnaelewa taratiiiiiiiiibu sanaaaaaaa na hata sasa yapo mengi mnooo bado utaendelea kusema si kweli ila ipo siku utakuja hapa jukwaan kusema unasikitika kugundua kuwa kitu fulani hukuwa unaamini ila sasa umeamini na umesikitika sana. Kwa taarifa yako hata Mkuu wa Gesh la Gwam hana ushawishi kwa walio chini yake na anadharaulika na wanamuita 2GB wakimaanisha hana capacity kwa position aliyo nayo!
 
Haya mapovu yanatosha kufua maturubai 20 ya chama.
Yaite mapovu ila Mkuu Daudi Mchambuzi ungetumia uwezo wako wa kuchambua kwa upande wa pili maana kuna hombwe la uongozi. Viongozi wanahama, mnadai wananunuliwa. Ruzuku inaliwa mnajifanya hamjui. Viongozi wanatema chuki, mnadai ndiyo demokrasia ya kukosoa. Kweli "Nyani hajui kundule!"

Majuu husema "charity begins at home" siye tuna msemo "Toa boriti jichoni kwako ..." au "Ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe". Mnaandika mengi ya chuki na kejeli lakini kumbe hamjui upande wenu watu wanatembea uchi. Wafunikeni.
 
Eeeeeeeh...
hapo sawa kabisa
 
Kwani mkuu hii nayo si ni mpya?
aaaaahhhh haya yote yanarudiwa tu watu walishaongea,tafuta nyuzi utazikuta humu........


btw unamkumbuka mchungaji mtikila? unakumbuka kwamba alifariki 2015 kuelekea uchaguzi?



mtikila alikua tetesi kuhusu hii ishu, ila sema yeye alijua edo ndio pando kumbe wazee walimlisha tango pori......
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] 2GB
 
Yaani hii kitu inakula afya ya jeshi kimya kimya, yaani walinzi wetu wanaumia kimya kimya.

Hii ni kutokuamini vyombo vya usalama na ulinzi. Ila inapokuja ishu ya korosho ati wanajeshi wetu watabangua hata kwa meno, dah hii kauli ilinitatiza sana. Yaani wanausalama wetu wamekuwa kama maroboti? Hata kama ni watu wa kutii amri, amri nyingine zisiwe za kuwabeza jamani.

Ukuta wa mererani una rangi ya nyumba za TPDF nyingi ila haiingi akilini ninaposikiwa wako walinzi toka nchi jirani.

Yaani hapa ni sawa na mdada aliyefunua sketi na kumruhusu mwanaume achungulie weeee hadi mate yote yamtoke!!!

Habari hizi sitaki kusadiki kama ni za kweli, naamini ni street stories tu.

IT IS WELL WITH MY SOUL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…