Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

Mkuu Britannica, kwanza usiamini kila unachosikia, kuna vingine ni kweli na vingine si kweli, mfano hili la kulindwa na jirani, sii kweli.

Pili sio kila ukweli unaousikia ni lazima uuseme, ukweli mwingine, unasikia na kumezea au kukaushia tuu.

Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums
P
Umeongea kweli mkuu ata mie kuna mrugaruga mmoja hivi niliwahi kumsikia juu ya issue na sikuamini na sitokuja kuamini lakini sikuona sababu ya kuuleta hapa jamvini.
 
Sidhani Kama protocol zinaruhusu raising alindwe na Raia au ulinzi binafsi achilia mbali wanajeshi toka nje ya nchi. Haiwezekani
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
s umeandika nini au guam ni mkeo maana hutaki kuelez watu wajuwe
 
Acheni uchochezi na wivu, nchi yetu imepiga hatua sana mpaka wanajeshi wa nchi nyingine wanajikuta wanashindwa kujizuia mpaka wanaamua kuja kuomba ajira kwenye nchi yetu, hili ni jambo la kupigiwa mfano duniani kote. Hakuna nchi yoyote iliyoweza kuweka "vivutio vya wanajeshi" kama nchi yetu tukufu. Na hizi ni "juhudi" kubwa za raisi wetu mtukufu na sasa ni dhahiri shairi tunaenda kuishinda hii "vita ya kiuchumi".
Hakika mfalme wa Guam anaungwa mkono hadi na wanajeshi wa nchi jirani,akianza kuungwa mkono na 'TRA' za nchi jirani ndio ndoto yakuwa donor kantri itatimia, Guam itanogah!!
 
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
Taarifa zako huwa naziamini 100%,hata mimi nalijua hilo siku nyingi sana,kifupi ni kwamba hiyo nchi ya Guam ipo mikononi mwa Mr Slim, kiongozi wa jamhuri ya wamwaga damu,niliwahi kuleta Uzi hapa juu ya hatima ya nchi ya Guam mods wakaifuta,Mr slim hatimaye kafanikiwa lengo lake, hatimaye Bahima inakaribia.
Sasa utasema kuna usalama wa taifa hapo au matako ya taifa? Utaruhusuje jeshi la nchi jirani likulinde?
Ina maana hawaamini wanajeshi wake ndo maana anawadharau sana hadi kuwabebesha mazao na kuwageuza mgambo wa kulinda maduka,sijui kwanini wanamchekea mfalme juha huyo.
Kuna Nabii wa Uganda alitabiri mwisho mbaya wa mfalme wa Guam
 
Wewe hauoni kwenye ziara zake utafikiri watu wapo vitani,watu wana silaha za kivita walinzi kama 100 hivi.
JIWE.jpg

JIWE2.jpeg
 
NAHISI
Maana napo kuna vita yakiuchumi...
Wafanyabiashara sio watu wazuri. ...wakishirikiana na wanasiasa wahujumu uchumi wenye mizizi hadi kwenye vyombo vya ulinzi na usalama dawa yao nikukata milija ya Ikulu tu.
Hawa wakiamua kwani hao walinzi wa mfalme wachache wataweza?
 
Mkuu embi shusha points hapa.
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?

Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,

Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana

Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi

Mungu awabariki watu wa Guam
 
...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Wale wakwake hawaamini ameona awachukue wa asili yake ukizingatia ni role model wake.
 
Sawa tu acha alindwe na wanajeshi wa kisiwa jirani,wale wa Guam ni dhaifu sana.

Ila mkuu embu tupe chanzo cha hii taarifa yako.
 
Mkuu naishia hapo na sitasema tena ila nimeumia mno, huyu mtu alosema bado yupo kwenye systems tena ngazi zenyewe za juu kabisa, kwanza nimewaza usiku mzima kwamba how comes Rais ni Wa Guam kwanini alindwe na hao wa hapo pembeni?

Kisa Mny*****enge aliyejiweka katika kamji ka kaskazini sehem.moja, sasa anawaamini origin yake ndo wa mlinde
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Back
Top Bottom