Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
upo nje ya mada kabisa.Yaite mapovu ila Mkuu Daudi Mchambuzi ungetumia uwezo wako wa kuchambua kwa upande wa pili maana kuna hombwe la uongozi. Viongozi wanahama, mnadai wananunuliwa. Ruzuku inaliwa mnajifanya hamjui. Viongozi wanatema chuki, mnadai ndiyo demokrasia ya kukosoa. Kweli "Nyani hajui kundule!"
Majuu husema "charity begins at home" siye tuna msemo "Toa boriti jichoni kwako ..." au "Ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe". Mnaandika mengi ya chuki na kejeli lakini kumbe hamjui upande wenu watu wanatembea uchi. Wafunikeni.
Acheni uchochezi na wivu, nchi yetu imepiga hatua sana mpaka wanajeshi wa nchi nyingine wanajikuta wanashindwa kujizuia mpaka wanaamua kuja kuomba ajira kwenye nchi yetu, hili ni jambo la kupigiwa mfano duniani kote. Hakuna nchi yoyote iliyoweza kuweka "vivutio vya wanajeshi" kama nchi yetu tukufu. Na hizi ni "juhudi" kubwa za raisi wetu mtukufu na sasa ni dhahiri shairi tunaenda kuishinda hii "vita ya kiuchumi".
Lakini ujumbe umefika.upo nje ya mada kabisa.
Punguza jazba.
Huwezi amini kwa sababu huwa huamini nakushauri endelea kutoamini...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Shanagaa, hivi kwanza inaanzaje hii yeye nani atoe order ya kulindwa na wanajeshi wanje Ili iweje!...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Dah, wewe ndo unaleta lingine. Amekwambia vijana wote ni wa kutoka kwa mtu mrefu? Halafu kumbe mmewekana WASUKUMA?Kama mwandishi anamaanisha TZ,anaongopa.Mimi nawafahamu baadhi ya vijana wa usalama wanaolinda pale Ikulu.Walio wengi ni wasukuma ambao tulikuwa tunaishi nao hapa Geita.
Hata yule Kanali anayekaa nyuma ya Rais anafahamika ni mtanzania aliyechukua nafasi ya yule Mhehe.
Hivi kuna uwezekano,kama akijulikana,ataitwa bungeni "kupongezwa kwa masimango"?Wewe Britannica wewe, Katto akikusikia, shauri yako.
P
Labda sababu haipendi chuga ....anaigawa taratibKwa nini malipo yasingekuwa mapato ya kutoka Geita au Chato?
Taifa la Guam lililojaa mang'ombe wanajionea sawa tuuNimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Hahaa acha utani mkuu,ila kupitia maandiko yake kanaonekana kana nyodo balaa.halafu kapo kwenye Teen ageNi jinsia ya kike, mwanamke mrembo sana huyu!
Wabangua korosho!!Hakuna wanajeshi pale kuna warukavichurachura
Mbona povu jingi kiasi hiki?Kama hujui kitu uliza, kuuliza siyo ujinga. Hadithi za vijiweni zibaki huko huko ili ulinde heshima yako uliyojijengea JF.
Mada zako siku hizi zina harufu ya chuki ya wazi ikimaanisha ni mmoja wa hao waliokuwa wakifaidika na usimamizi mbovu wa sheria za nchi hii.
HAKIKA NAMBA mnaisoma sasa. Mtabaki kulialia humu JF tu, maana hamna mnaloweza kufanya. Kama mlikuwa na mawazo ya kumwondoa madarakani, nje ya utaratibu wa kura, imekula kwenu, Mkuu.
Whatever what lazima ukweli usemwe!!Wewe Britannica wewe, Katto akikusikia, shauri yako.
P
Mbona unachanganya Vatican's na Guam? Vatican's ina President, ina Bunge, ina Mahakama? Halafu hujui ile ni nchi iliyondani ya Italy? Usichanganye mambo wewe. Ebu nenda kale labda njaa inakuwehua!!Naamini Mungu ndiye mlinzi wangu tosha. Iweje naingia ndani ya nyumba ya ibada huku nimeva hirizi. ? Why Vatican Popes are protected by Swiss soldiers over decades invece gli Italiani?
Mkuu Britannica, kwanza usiamini kila unachosikia, kuna vingine ni kweli na vingine si kweli, mfano hili la kulindwa na jirani, sii kweli.
Pili sio kila ukweli unaousikia ni lazima uuseme, ukweli mwingine, unasikia na kumezea au kukaushia tuu.
Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums
P