Nilikuwa Sijui Mwenzenu

Nilikuwa Sijui Mwenzenu

Lakini Dena kwanini hatujiulizi maswali mepesi....kwamba watu wanafumaniana,wanatukanana na kuvunjiana heshima lakini mwisho wa siku wanarudia matapishi yao! Nidhanivyo km ndivyo basi hata hayo ya kuitana majina ya jumla ni kutojiamini tu ila ukiwa mtaalamu wa kumkamata mwenzio kisawa sawa atakua anakuita hata jina lako la utotoni kuproof kwako amekolea..
 
switie,,., yani nikiambiwa hivyo ndo amenimaliza,., kumbe kuna ishu nyuma ya pazia.
 
Lakini Dena kwanini hatujiulizi maswali mepesi....kwamba watu wanafumaniana,wanatukanana na kuvunjiana heshima lakini mwisho wa siku wanarudia matapishi yao! Nidhanivyo km ndivyo basi hata hayo ya kuitana majina ya jumla ni kutojiamini tu ila ukiwa mtaalamu wa kumkamata mwenzio kisawa sawa atakua anakuita hata jina lako la utotoni kuproof kwako amekolea..

Kwakweli hapo ndo panaponichosha mie mwenzenu
 
Ha ha ha nakuja next week nitazikuta (halafu leo una mapointi hukunywa chang'aa jana nini??)

KUTOKANA NA UAMINIFU WA MAPENZI KUPTEA KATIKA KARNE HII, HUU NDIO UKWELI WA MAJINA YA WAPENZI
1. DARLING (KUBWA JINGA)
2.SWEET (ZEZETA)
3. HUSBAND (BUZI)
4. HONEY (KIMEO)
5. DEAR (WAKUZUGIA)
6. BABY (MCHOVU)
wewe mpenzi wako anakuitaje?
 
Kuna jamaa alishataja jina la house girl wakati yupo kifuani kwa bimkubwa guess what happened
 
KUTOKANA NA UAMINIFU WA MAPENZI KUPTEA KATIKA KARNE HII, HUU NDIO UKWELI WA MAJINA YA WAPENZI
1. DARLING (KUBWA JINGA)
2.SWEET (ZEZETA)
3. HUSBAND (BUZI)
4. HONEY (KIMEO)
5. DEAR (WAKUZUGIA)
6. BABY (MCHOVU)
wewe mpenzi wako anakuitaje?

Ananiita Mama ...........................
 
Hujui ata wanawake kwa wanawake wanaitana hayo majina?
Habari zenu wapendwa wa MMU!!!Jana nilikuwa napata Lunch maeneo fulani hivi nikiwa na mfanyakazi mwenzangu wakati tukiendelea kupata chakula meza ya karibu na sisi kulikuwa na wasichana watatu nao wanapata chakula............tukasikia:Msichana wa kwanza: Mmmhhh we......akataja jina wewe mbona kila mwanaume wako wamuita Darling??? Maana huyo sio.....alitaja jinaMsichana aliyeulizwa swali: Akasema wewe j...akataja jina yaani wewe unafanya mchezo kweli niwaite kwa majina niumbuke?? Badala ya kusema .....akataja jina.... niseme....akataja jina.....hiyo haiwezekani nikiita kila mtu Darling hakuna atakayeshituka lakini mambo ya kuitana majina NOOOOOOOO ....................Etii ooohh John, Musa, Isaack siwezi mie wote ni Darling kwisha..................Nauliza swali hivi kumbe hii ndo mbinu ya kivita unaita Darling, My Love, Baby, na mengine mengi ili kupotezea ukware ha ha ha ha mie nilikuwa sijui hili wajameni santeni sana enjoy your weekend wapendwa. Me Love You........................DA
 
Habari zenu wapendwa wa MMU!!!

Jana nilikuwa napata Lunch maeneo fulani hivi nikiwa na mfanyakazi mwenzangu wakati tukiendelea kupata chakula meza ya karibu na sisi kulikuwa na wasichana watatu nao wanapata chakula............tukasikia:

Msichana wa kwanza: Mmmhhh we......akataja jina wewe mbona kila mwanaume wako wamuita Darling??? Maana huyo sio.....alitaja jina

Msichana aliyeulizwa swali: Akasema wewe j...akataja jina yaani wewe unafanya mchezo kweli niwaite kwa majina niumbuke?? Badala ya kusema .....akataja jina.... niseme....akataja jina.....hiyo haiwezekani nikiita kila mtu Darling hakuna atakayeshituka lakini mambo ya kuitana majina NOOOOOOOO ....................Etii ooohh John, Musa, Isaack siwezi mie wote ni Darling kwisha..................

Nauliza swali hivi kumbe hii ndo mbinu ya kivita unaita Darling, My Love, Baby, na mengine mengi ili kupotezea ukware ha ha ha ha mie nilikuwa sijui hili wajameni santeni sana enjoy your weekend wapendwa. Me Love You........................

DA

Mhhhhh! DA haya mapenzi ya kisiku hizi usanii mtupu!! Wameyachakachua majina yenye uzito mkubwa kwa wapendanao mpaka yanaanza kupoteza ladha yake. Utamwitaje kila mwanaume/mwanamke unayemfahamu sweetie, darling, mpenzi na mengineyo.
 
Back
Top Bottom