Nilikuwa wapi Mimi kushika hela kumbe dunia ni tamu namna hii

baada ya mwaka uzi utasomeka
[emoji116][emoji116][emoji116]
NATAFUTA MWANAMKE HIV POSITIVE TUYAJENGE
Acha kumtisha mwamba ,hiyo yoyote tu anapata ni Kama ajal kazin ,unaweza tulia na mmoja alafu huyo mmoja anakupanga kindez ,hapa toa ushaur tu kuwa mwamba akumbuke zana
 
Tunasubiria uzi wa kuwaponda Graduates kuwa hawana akili hawachangamkii fursa maana mishahara ikishafika mitatu tayari mnajionaga mmekuwa Said Salim Bhakresa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…