Nilikuwa wapi Mimi kushika hela kumbe dunia ni tamu namna hii

Nilikuwa wapi Mimi kushika hela kumbe dunia ni tamu namna hii

baada ya mwaka uzi utasomeka
[emoji116][emoji116][emoji116]
NATAFUTA MWANAMKE HIV POSITIVE TUYAJENGE
Acha kumtisha mwamba ,hiyo yoyote tu anapata ni Kama ajal kazin ,unaweza tulia na mmoja alafu huyo mmoja anakupanga kindez ,hapa toa ushaur tu kuwa mwamba akumbuke zana
 
Mkuu asikwambie mtu raha sana kuwa na hela
Asubuh ndizi mchemsho wenye kuku na maji makubwa lita moja na nusu,mchana ubwabwa maharage ya Nazi mchicha na samaki..usiku samaki wa kukaanga bia na matunda fruit mixer..kesho yake mapema asubuh unapiga rost la maini huku ukiendelea kutengenza dodoso la posho kwa safari husika...[emoji12]
Tunasubiria uzi wa kuwaponda Graduates kuwa hawana akili hawachangamkii fursa maana mishahara ikishafika mitatu tayari mnajionaga mmekuwa Said Salim Bhakresa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom