Nililala na mke wa mtu aliyenizidi miaka 30

Kuna gono sugu mdogo angu ngoja nikupe link
 
Huyu ni mwanume au mvulana? Mtu ana 23 unamwita mwanamme,huyu ni mvulana,hata matendo yake ni ya kivulana,achana naye
Tena anawaaibisha hata wavulana wenzie. Am sure hata hapo shule alishamtangaza mama wa watu.
Uzi wa kula tunda kimasihara umewaharibu sana wakaka mpaka hawafikirii mara mbili, ili mradi naye aje aandike apate comments na likes
 
Pole dogo andaa linda hilo.

Na uzuri/ubaya wa jf kuna wazee wengi humu.

Pitia threads za zamani uone id za kitambo icho bado zipo active na enzi hizo watu walikua wawazi wanataja tu umri wao.

Dogo umeyakanyaga, umepanda mtumbwi wa vibwengo. Ngumi sungunyo inakuhusu.
 
Kwahiyo unajisifia sio? Wewe ni mwalimu kabisa? Hufai kuwa hapo
 
Kwahyo hapo unahitaji msaada gan kutok kwetu
 
Kweli kwa Mambo kama haya ni udhaifu mkubwa, mtu kama huyu si atakula wanafunzi kama ameweza kumla mama yake mzazi Tena kwa kumshawishi, ENYI wagalatia nani kawaloga? Lini nchi hii itakua na maendeleo kwa laana kuchungulia uchi wa mama Yako? Mtaendelea kutawaliwa
Ndio maana Mpwayungu village anawasagia sana kunguni walimu. Ni sababu ya walimu wa hovyo kama we mtoa mada.
 
Moderators wa JF nao kama hawana akili nyuzi za kipumbavu kama hizi wanaxiapload halafu zenye maana wazifuta ovyo kabisa, vitoto vimeshindwa Facebook ndio vimevamia huku ovyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…