Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
SorrySina uwezo wa kuyahudumia yote kwa mpigo. Au unamaanisha kuwa shamba hilo hilo moja nipande mipapai, michungwa na minanasi?
Mbona JK analima!Hayo matunda utapata hasara tu kwani watanzania awali matunda mpaka waumwe. Lima tu mahindi na mpunga au mihogo.
Sio kweli. Ni 1,700,000Bangi hunia 180,000 kwa sasa sokoni!
Karibu sanaAsante kwa wazo lako zuri
Mbona JK analima!
Unalimia wapi ndg?Mkuu kwa kuchakata kwangu nanasi is the best maana ni rahisi kulima hayaitaji garama kubwa kuyalea pia kidogo yaweza kukaa kwa mda mrefu ukitafuta wateja ukilinganisha na machungwa au papai,
Yangu ni hayo ila sijawai kulima hayo madude mwisho wangu ni mbogamboga,
Mbegu za asili zinachelewa kuzaa na pia ni vigumu kujua mpapai dume na jike inapokua midogo, hybrid inakua na sex zote yani unaweza ukapanda mpapai mmoja na ukazaa wenyewe bila kuwepo mpapai mwingine(dume)Iv haiwezekani kulima kwa kutumia mbegu za asili na kupata faida?
Lima mboga mboga utarudisha pesa yako na kupata faida ndani ya muda mfupi. Mfano mchicha unavuna kuanzia wiki ya tatu tangu kupandwa na soko lake ni kubwa sanaSina uwezo wa kuyahudumia yote kwa mpigo. Au unamaanisha kuwa shamba hilo hilo moja nipande mipapai, michungwa na minanasi?
Unayavuna yakiwa bado machangaUkilima papai jiandae kukabiliana na popo usiku, sijui utawazuiaje wasile mapapai
[emoji15] [emoji15] kwahyo unayavundika?Unayavuna yakiwa bado machanga
kwa bei ya papai moja 3000 anapata bilioni moja na milioni hamsini kila mwaka dah noma sanaNakushauri lima Papai hasa hybrid
1.miezi 8 unaanza kuvuna mfululizo hadi miaka 3
2.haishambuliwi na wadudu hasa Miche niliyonayo
3.haina gharama za matunzo zaidi ya maji palizi na Mbolea
4.utawahi kurudisha gharama tofauti na mazao mengine.
5.mipapai mmoja matunda hadi 120
Heka moja mipapai 1200
Piga hesabu za roughly kila mwezi uvune matunda 700x500 =350,000 kwa mwaka ?
Uje nikuuzie Miche
Pia pita masokoni uulize Papai wananunua bei gani
0755404226 dsm kiluvya
kwa bei ya papai moja 3000 anapata bilioni moja na milioni hamsini kila mwaka kwa miaka mitatu ni bilioni 3 na milioni 50 dah noma sana