Nilime nini kati ya nanasi, machungwa, maembe na mapapai?

Nilime nini kati ya nanasi, machungwa, maembe na mapapai?

UKIPEKUA HUMU KAPUNI UTAKUTANA NA UFAFANUZI WA KILIMO CHA MACHUNGWA MIPAPAI NA NANASI.WAMEELEZEA VIZURI
UKISHAFIKIA MAAMUZI USISAHAU KURUDI KUTAFUTA VIBARUA HUKU
 
UKIPEKUA HUMU KAPUNI UTAKUTANA NA UFAFANUZI WA KILIMO CHA MACHUNGWA MIPAPAI NA NANASI.WAMEELEZEA VIZURI
UKISHAFIKIA MAAMUZI USISAHAU KURUDI KUTAFUTA VIBARUA HUKU
Ngoja nichimbue chimbue hizo nyuzi
 
Mkuu kwa kuchakata kwangu nanasi is the best maana ni rahisi kulima hayaitaji garama kubwa kuyalea pia kidogo yaweza kukaa kwa mda mrefu ukitafuta wateja ukilinganisha na machungwa au papai,

Yangu ni hayo ila sijawai kulima hayo madude mwisho wangu ni mbogamboga,
Unalimia wapi ndg?
 
Iv haiwezekani kulima kwa kutumia mbegu za asili na kupata faida?
Mbegu za asili zinachelewa kuzaa na pia ni vigumu kujua mpapai dume na jike inapokua midogo, hybrid inakua na sex zote yani unaweza ukapanda mpapai mmoja na ukazaa wenyewe bila kuwepo mpapai mwingine(dume)
 
Sina uwezo wa kuyahudumia yote kwa mpigo. Au unamaanisha kuwa shamba hilo hilo moja nipande mipapai, michungwa na minanasi?
Lima mboga mboga utarudisha pesa yako na kupata faida ndani ya muda mfupi. Mfano mchicha unavuna kuanzia wiki ya tatu tangu kupandwa na soko lake ni kubwa sana
 
Lima mboga mboga utarudisha pesa yako na kupata faida ndani ya muda mfupi. Mfano mchicha unavuna kuanzia wiki ya tatu tangu kupandwa na soko lake ni kubwa sana
Asante kwa ushauri huu
 
Nakushauri lima Papai hasa hybrid
1.miezi 8 unaanza kuvuna mfululizo hadi miaka 3
2.haishambuliwi na wadudu hasa Miche niliyonayo
3.haina gharama za matunzo zaidi ya maji palizi na Mbolea
4.utawahi kurudisha gharama tofauti na mazao mengine.

5.mipapai mmoja matunda hadi 120
Heka moja mipapai 1200

Piga hesabu za roughly kila mwezi uvune matunda 700x500 =350,000 kwa mwaka ?
Uje nikuuzie Miche
Pia pita masokoni uulize Papai wananunua bei gani
0755404226 dsm kiluvya
kwa bei ya papai moja 3000 anapata bilioni moja na milioni hamsini kila mwaka dah noma sana
 
Back
Top Bottom