Nilimezwa na chatu mwaka 2008

Ule mguu ulioungua ulipona na nini so viroba uliacha now ukiona jani linatingishika unatoka nduki
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha zangu nilizopigwa nikiwa nimemezwa na chatu ziliuzwa sana pale uyole picha moja iliuzwa buku.

Cha ajabu sikufaidika hata na shilingi katika picha zile ambazo watu walineemeka kibiashara kupitia shida yangu.
Ilikuwa mwaka gani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…