Nilimezwa na chatu mwaka 2008

Nilimezwa na chatu mwaka 2008

Nilikuwa na nokia inapiga mbele na nyuma ya kufunua 2008
Simu za camera tangu miaka ya 2005,faza wangu mdogo alikuwa anaenda Kampala kurangua simu zile za kufunua zilikuwa na kamera hapa bongo alikuwa anauza simu moja laki tano, enzi hizo tena anauza mkononi Ila zilikuwa mpya,2008 zilikuwepo simu zenye kupiga picha sema zilikuwa chache.
 
We ulikuwa unaota ndoto maana unasema ulilewa, afu kwa maeneo ya jeshini sidhani kama wanajeshi wamgeshindwa kukuokoa, hao waliokuwa wanakupiga picha walitumia vifaa gani au sio utaratibu wa wana mbeya upatwe na tatizo afu waanze kukuangalia tu. Kingine kama ulilewa ulikuwa na ujasiri gani wa kujilaza kumzuia chatu asikuviringe ili kukuvunja. Bila hizo picha mimi nikiwa mwana mbeya hapa nakuona MUONGO sana aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikumbuki tukio kama hilo kutokea uyole miaka hiyo, nimewauliza jamaa zangu nao hawana hiyo kumbukumbu. Labda unasema kweli mkuu
 
ngozi yake laini ilivyokuwa inanitambaa mwilini.

Nilijikaza lakini alibahatisha kunimeza mguu wote; alishindwa kunimalizia kwasababu nilikuwa nimetanua mguu wa kulia

Chatu msikie tu. Yupo kama jini au shetani, yale macho yake mkitazamana kwa karibu.

Sipati picha alivyokuwa anakugusa pale iliposimikwa mitambo ya DOWANS, nahisi ulikuwa unaamini rasmi kituo kinahamishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe Mkuu ni kiboko
nilishapuuzia hii CHAI lkn umenirudisha
ASITUDANGANYE El Nino ilikuwa 1997 / 1998 eti chatu akamlamba mguu, akija kichwani anaogopa macho ya mlevi, chatu hataki kuangaliana
Hali kama hii ilifuata mvua kubwa 1997/98.
NASA: El Nino hii ni mbaya kama ya 1998
 
Picha zangu nilizopigwa nikiwa nimemezwa na chatu ziliuzwa sana pale uyole picha moja iliuzwa buku.

Cha ajabu sikufaidika hata na shilingi katika picha zile ambazo watu walineemeka kibiashara kupitia shida yangu.
Ndugu zangu kutokea hapo Uyole vijijini hii dhambi haiwaachi salama 🤣🤣🤣
 
Picha zangu nilizopigwa nikiwa nimemezwa na chatu ziliuzwa sana pale uyole picha moja iliuzwa buku.

Cha ajabu sikufaidika hata na shilingi katika picha zile ambazo watu walineemeka kibiashara kupitia shida yangu.
Wenyewe wanasemaga " cha mlevi huliwa na mbwa"
 
Uyole kuna kambi ya jeshi karibu na daraja la tren kabla hujafika stendi ya daladala
Hapo ni uyole ....sumajkt ujenz (NSCD)

Ni kweli kuna kimstu cha kiaina.....japo masika kuna mashamba ya kilimo ...

Nilipita hapo kama service men (JKT)
 
utotoni tulikuwa tunadanganyana chatu akikukamata anaziba pua na ulimi wake
 
Back
Top Bottom