Nilimezwa na chatu mwaka 2008

Nilimezwa na chatu mwaka 2008

Ndio najiuliza, maana hizi simu za picha nyingi zimeingia 2011 mwishoni, 2012...

Mimi Tecno P3 yangu nilinunua 2012...

Sent using Jamii Forums mobile app
Simu za camera tangu miaka ya 2005,faza wangu mdogo alikuwa anaenda Kampala kurangua simu zile za kufunua zilikuwa na kamera hapa bongo alikuwa anauza simu moja laki tano, enzi hizo tena anauza mkononi Ila zilikuwa mpya,2008 zilikuwepo simu zenye kupiga picha sema zilikuwa chache.
 
Back
Top Bottom