Nilimezwa na chatu mwaka 2008

Babu weng simu wamemiliki miaka ya 2012 kwenda mbele

kilicho akilini kitumie
 
Unataja simu za mwanzo kuwa n camera unaitaja tecno? Tangu lini hiyo kampuni ikagundua teknolojia mpya. Mimi simu ya kwanza ya camera niliiona kwa brother mmoja alitoka Dubai, 2008 ilikuwa.
Humu kweli tumetofautiana yaani simu ya kamera umeanza kuiona 2008?
 
Simu yangubya kwanza kutumia Nokia 5200 ilikua na Camera pia..hiyo ilikua 2009
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi husema elnino wakimaanisha mvua Kali

Nilivyomsoma sijaona uongo kwenye stori take ila labda Kama imemtokea mtu wa karibu yake
Hii ni ndoto au? Maana ni saa 6 usiku sahivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada hajasema alipigwa picha na simu.... Hilo swali kaulizwa na mdau fulani kama walitumia simu au camera.

Sent using Jamii Forums mobile app


Ila chatu wa kutaka kummeza mtu mzima mmmhhhh???
Mtoto labda ila so mtu mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…