Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,584
Nimekupata mkuuUmechelewa kulikuwa na Nokia 2010 camera safi kabisa
El nino ni 98 sio 2008,labda el nino ya chatu kukumezaUlikuwa kindegateni
Mkuu mimi 2004 ndio nilimaliza degree, inamaana wewe hata mtandao wa tritel na celtel hujawahi kuisikiaNikiwa darasa la tatu. Before hapo nilikuwa naziona flip phone za Samsung ziko vizuri lakini sikumbuki kunotice camera. Siemens na Nokia nilizokuwa naona hazikuwa na camera.
Mzee chatu ili akumeze ni lazima awe amejiviringisha kwenye mwili wako sasa unasemaje hujaona uongo? Kwahiyo unataka useme chatu ana mbio kuliko binaadam? Kilichomfanya asikimbie ni nini ikiwa chatu hajajiviringisha kwenye mwili wa jamaa?Wengi husema elnino wakimaanisha mvua Kali
Nilivyomsoma sijaona uongo kwenye stori take ila labda Kama imemtokea mtu wa karibu yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila chatu wa kutaka kummeza mtu mzima mmmhhhh???
Mtoto labda ila so mtu mzima
Kwanini ulale chini na si kukimbia?Siku nyingine ukikumbana na chatu lala chini halafu angalia uwezekano wa kupata kijiti kikavu (hapa ujasiri unatakiwa) anza kukivunja kidogo kidogo (hata mara 10) ukiwa pale pale chini....Chatu atajiondokea zake, ukishagundua kaondoka amka timua mbio..
Nimeona chatu kameza ndama wewe unazungumzia binadamu? Ingia youtube ujionee
Mi hata sijui we tunywe tuHii ni ya rangi au ya maziwa???
Unamaanisha JKT relini darajani karibu Na nanenane, opposite na shamba la chuo Cha kilimo?Mbeya karibu na reli ya tazara maeneo ya kambi ya jkt mbeya walikuwa na huo mtindo zamani wanapiga picha matukio halafu wanauza picha
Pôle Sana mwana wa pepaa,ilikuwa Kijiji gani? Uyole naifahamu sana nimeishi pale karibu miaka 5Picha zangu nilizopigwa nikiwa nimemezwa na chatu ziliuzwa sana pale uyole picha moja iliuzwa buku.
Cha ajabu sikufaidika hata na shilingi katika picha zile ambazo watu walineemeka kibiashara kupitia shida yangu.
Mwaka gan?Member wa jf walioko uyole mbeya watakuwa wanakumbuka hili tukio na hizo picha watakuwa waliziona
Oh pale jeshini karibu na chuo Cha St aggrey na stand ya nanenane? Pale Pana ka msitu ukiunganisha na pale kilimoMbeya karibu na reli ya tazara maeneo ya kambi ya jkt mbeya walikuwa na huo mtindo zamani wanapiga picha matukio halafu wanauza picha
Inaweza kua kweli japo we jamaa unaweza ukawa ni mtu MUONGO kuliko watu wote hapa East AfricaSitaisahau elnino ya mwaka tajwa hapo juu, mvua zilikuwa kubwa sana kule maeneo ya Mbeya bila kujua nikaingia kwenye mtego wa chatu, alinidondosha.
Pona yangu sikuamka, na ukilala chali chatu hakuwezi alinitambaa sana mwilini ili anivingirishe ila nilijikaza na ile ngozi yake laini ilivyokuwa inanitambaa mwilini.
Nilijikaza lakini alibahatisha kunimeza mguu wote; alishindwa kunimalizia kwasababu nilikuwa nimetanua mguu wa kulia hivyo sikupita mdomoni mwake. Niliokolewa baada ya masaa matatu ila mguu uliungua sana.
Huwezi amini tulikuwa tunaangaliana jicho kwa jicho huku nimelala, ujasiri huu niliupata baada ya kulewa sana pombe ya Kiroba ilikuwa maarufu sana kule Mbeya inaitwa Double Punch.
Chatu msikie tu. Yupo kama jini au shetani, yale macho yake mkitazamana kwa karibu.
Unaishi mkoa gani?afu unajua maana ya binadam