Nilimezwa na chatu mwaka 2008

Hii Hii Suma Jkt mkuu? El nino ipi hiyo ya 2008, Mimi kama mdau wa uyole miaka hiyo nasema hii story yako ni chai!
 
Nikiwa darasa la tatu. Before hapo nilikuwa naziona flip phone za Samsung ziko vizuri lakini sikumbuki kunotice camera. Siemens na Nokia nilizokuwa naona hazikuwa na camera.
Mkuu mimi 2004 ndio nilimaliza degree, inamaana wewe hata mtandao wa tritel na celtel hujawahi kuisikia
 
Wengi husema elnino wakimaanisha mvua Kali

Nilivyomsoma sijaona uongo kwenye stori take ila labda Kama imemtokea mtu wa karibu yake

Sent using Jamii Forums mobile app


Ila chatu wa kutaka kummeza mtu mzima mmmhhhh???
Mtoto labda ila so mtu mzima
Mzee chatu ili akumeze ni lazima awe amejiviringisha kwenye mwili wako sasa unasemaje hujaona uongo? Kwahiyo unataka useme chatu ana mbio kuliko binaadam? Kilichomfanya asikimbie ni nini ikiwa chatu hajajiviringisha kwenye mwili wa jamaa?
 
Kwanini ulale chini na si kukimbia?
 
Picha zangu nilizopigwa nikiwa nimemezwa na chatu ziliuzwa sana pale uyole picha moja iliuzwa buku.

Cha ajabu sikufaidika hata na shilingi katika picha zile ambazo watu walineemeka kibiashara kupitia shida yangu.
Pôle Sana mwana wa pepaa,ilikuwa Kijiji gani? Uyole naifahamu sana nimeishi pale karibu miaka 5
Ngulubhi Ali mghosi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaweza kua kweli japo we jamaa unaweza ukawa ni mtu MUONGO kuliko watu wote hapa East Africa

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…