mkoani kuna taabu zake. kuna haja mabwepande tuwaletee chatu chotara angalau wabaume wa dar nao mfanyie mazoezi kuepuka kuhojihoji jindi gani ya kujinasua 'ukithubutu kukutwa na bwana chatu'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Celter niliiona mbona, Tritel nilikuja kuisoma pamoja na Buzz. Wakati Zain inaireplace Celtel nilikuwa na akili za kunitosha kutambua hicho kitu, i think around 2009 hivi. Wakati hata uchaguzi wa Marekani 2008 na vita ya Georgia nilivielewaelewa.Mkuu mimi 2004 ndio nilimaliza degree, inamaana wewe hata mtandao wa tritel na celtel hujawahi kuisikia
Eti wanamtete kuwa alimaanisha mvua kubwa,
Mkuu ila uwezo wake ulikuwa chini Sana kutoa picha BoraMkuu sema wewe ndio ulichelewa kumiliki simu zenye camera ila zimekuwepo sana tangu 2005s mfano wakati huo kulikua na Samsung l series zote zilikua na camera.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana hawa wana mambo mkuuEti wanamtete kuwa alimaanisha mvua kubwa,
Shetani ushatazamana nae kwa karibu?Sitaisahau elnino ya mwaka tajwa hapo juu, mvua zilikuwa kubwa sana kule maeneo ya Mbeya bila kujua nikaingia kwenye mtego wa chatu, alinidondosha.
Pona yangu sikuamka, na ukilala chali chatu hakuwezi alinitambaa sana mwilini ili anivingirishe ila nilijikaza na ile ngozi yake laini ilivyokuwa inanitambaa mwilini.
Nilijikaza lakini alibahatisha kunimeza mguu wote; alishindwa kunimalizia kwasababu nilikuwa nimetanua mguu wa kulia hivyo sikupita mdomoni mwake. Niliokolewa baada ya masaa matatu ila mguu uliungua sana.
Huwezi amini tulikuwa tunaangaliana jicho kwa jicho huku nimelala, ujasiri huu niliupata baada ya kulewa sana pombe ya Kiroba ilikuwa maarufu sana kule Mbeya inaitwa Double Punch.
Chatu msikie tu. Yupo kama jini au shetani, yale macho yake mkitazamana kwa karibu.
Duuh...! Pole sana mkuu. JKT ya mbeya uyole unaifahamu kweli ilipo?. Mbona sio maeneo yenye kufikiwa na maji?. Halafu ni katikati kiasi kwamba chatu alitokea upande gani mkuu?. Maana ni kama hamna poli. Labda ungesema nyuma ya sec ya mbeya day kuna mto kule na vichaka pembeni ya mto. Isitoshe kule tuliwahi kusikia kuna chatu anapita maeneo yaleMbeya karibu na reli ya tazara maeneo ya kambi ya jkt mbeya walikuwa na huo mtindo zamani wanapiga picha matukio halafu wanauza picha
Kuhusu kummeza kabla ya kujiviringisha sijui mzee, ila najua anajiviringisha ili kuuwa, sa Kuna probability akijua kimekufa au kinakarbia kufa anaweza kulaMzee chatu ili akumeze ni lazima awe amejiviringisha kwenye mwili wako sasa unasemaje hujaona uongo? Kwahiyo unataka useme chatu ana mbio kuliko binaadam? Kilichomfanya asikimbie ni nini ikiwa chatu hajajiviringisha kwenye mwili wa jamaa?
Sitaisahau elnino ya mwaka tajwa hapo juu, mvua zilikuwa kubwa sana kule maeneo ya Mbeya bila kujua nikaingia kwenye mtego wa chatu, alinidondosha.
Pona yangu sikuamka, na ukilala chali chatu hakuwezi alinitambaa sana mwilini ili anivingirishe ila nilijikaza na ile ngozi yake laini ilivyokuwa inanitambaa mwilini.
Nilijikaza lakini alibahatisha kunimeza mguu wote; alishindwa kunimalizia kwasababu nilikuwa nimetanua mguu wa kulia hivyo sikupita mdomoni mwake. Niliokolewa baada ya masaa matatu ila mguu uliungua sana.
Huwezi amini tulikuwa tunaangaliana jicho kwa jicho huku nimelala, ujasiri huu niliupata baada ya kulewa sana pombe ya Kiroba ilikuwa maarufu sana kule Mbeya inaitwa Double Punch.
Chatu msikie tu. Yupo kama jini au shetani, yale macho yake mkitazamana kwa karibu.
Mzee chatu ili akumeze ni lazima awe amejiviringisha kwenye mwili wako sasa unasemaje hujaona uongo? Kwahiyo unataka useme chatu ana mbio kuliko binaadam? Kilichomfanya asikimbie ni nini ikiwa chatu hajajiviringisha kwenye mwili wa jamaa?
Nimeona chatu kameza ndama wewe unazungumzia binadamu? Ingia youtube ujionee
Yeye anazungumzia JKT ya hapa opposite na shamba la kilimo uyole,upande wa chini kuna reli hiyo inayopita juu barabara hapo 8,8. Ndio nimemuuliza mbona hakuna poli hata upande wa relini kuna watu wengi wamejenga kule,na hakuna mto,chatu alitokea wapi kule?
Huu ni uongo. El Nino ilikuwa 1998. Hakukuwa na El Nino 2008
Wakati wa mvua za El nino kulikuwa na simu yenye uwezo wa kupiga picha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Rose matako si nimeagiza chapati zikowapi halafu mbona ujaleta na supuView attachment 1351610
Sent using Jamii Forums mobile app