kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Si zimeuzwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji18][emoji18]
kelphin kepph
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si zimeuzwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji18][emoji18]
halafu unajua wewe sabosabo hayupo mbali,nitamuita sasa hiviIna maana wewe hizo picha walizokupiga ukiwa umemezwa na chatu huna hata moja ukumbusho?
Mama Mwajuma naomba chapati 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Da kama ni kweli pole sana Mkuu ila pia we chuma kweli kweliSitaisahau elnino ya mwaka tajwa hapo juu, mvua zilikuwa kubwa sana kule maeneo ya Mbeya bila kujua nikaingia kwenye mtego wa chatu, alinidondosha.
Pona yangu sikuamka, na ukilala chali chatu hakuwezi alinitambaa sana mwilini ili anivingirishe ila nilijikaza na ile ngozi yake laini ilivyokuwa inanitambaa mwilini.
Nilijikaza lakini alibahatisha kunimeza mguu wote; alishindwa kunimalizia kwasababu nilikuwa nimetanua mguu wa kulia hivyo sikupita mdomoni mwake. Niliokolewa baada ya masaa matatu ila mguu uliungua sana.
Huwezi amini tulikuwa tunaangaliana jicho kwa jicho huku nimelala, ujasiri huu niliupata baada ya kulewa sana pombe ya Kiroba ilikuwa maarufu sana kule Mbeya inaitwa Double Punch.
Chatu msikie tu. Yupo kama jini au shetani, yale macho yake mkitazamana kwa karibu.
Kiukweli lile eneo kulikuwa na chatu Sana. Sijajua kwa sasaMbeya karibu na reli ya tazara maeneo ya kambi ya jkt mbeya walikuwa na huo mtindo zamani wanapiga picha matukio halafu wanauza picha
Nikiwa darasa la tatu. Before hapo nilikuwa naziona flip phone za Samsung ziko vizuri lakini sikumbuki kunotice camera. Siemens na Nokia nilizokuwa naona hazikuwa na camera.Humu kweli tumetofautiana yaani simu ya kamera umeanza kuiona 2008?
Hakuna chatu anayeweza kummeza binadamu.Tembelea sengerema hususani kahunda ndio utaamini hizo ni story za vijiweni watu wananusurika kuliwa na chatu wanaokolewa na wapita njia na hyo mbinu wanaiapply lakini hamna kitu
Unaishi mkoa gani?afu unajua maana ya binadam
halafu unajua wewe sabosabo hayupo mbali,nitamuita sasa hivi
sasa we endelea kubisha bisha,sisi tunakuliwaza hapa wewe unakaza shingo.
Tatizo maswali mengi hujibuMpaka akiandika nyaningabu au barafu ndio mnaamini wakiandika wengine waongo non believer ni swine kabisa nyie
Jibu maswali ngedere weweMpaka aandike mama yenu faizafoxy ndio mnaamini nguruwe nyie watu tumepona kifo mnadhani utani
Umechelewa kulikuwa na Nokia 2010 camera safi kabisaNdio najiuliza, maana hizi simu za picha nyingi zimeingia 2011 mwishoni, 2012...
Mimi Tecno P3 yangu nilinunua 2012...
Sent using Jamii Forums mobile app