Nilimfadhili huyu mwanamke lakini aliyoyatenda ni ajabu

Siyo kumfadhili, mlikuwa kwenye mahusiano.

Inaonekana hamkuwa mkiendana. Ulifanya vizuri kumuacha/kuachana.

Usijisikie hatia juu ya kifo cha mtoto as long as hauhusiki na uwe ulifanya vema sehemu yako kama baba.

Pole sana mkuu, ndiyo ukubwa huo.
AsaNte Sana mjomba daaah
 
Mi ningemuacha siku ambayo alikuchoma na pen aina ya bick
 
Nilishakuambia kuwa kosa lilikuwa lako.
Imagine mtu tena binti anakuambia haelewani na mama yake wewe ulitegemea akutendee mema gani?
Huyo binti alikuwa na ukichaa sema tu haujafika peak.
Hii ni story ya pili kama si ya 3 kuhusu huyu binti.
Siku hizi anafundisha shule gani, na iko mkoa gani?
 
We jamaa akili yako sijui iko vipi? Mtu hapatani na ndugu zake hata mmoja, wewe ndio utamuweza? Wanaume huwa tunachangamsha akili dogo.
 
YuKO DSM huko shule siwezi isema mzee
 
Pole sana mkuu ila kwa hali ilivyokuwa hukupaswa hata kuzaa nae.. Mtu anataka kukuuwa kwa kukuchoma na peni bado unampetipeti. angekuja kukuchoma na kisu siku moja
 
Pole sana mkuu ila kwa hali ilivyokuwa hukupaswa hata kuzaa nae.. Mtu anataka kukuuwa kwa kukuchoma na peni bado unampetipeti. angekuja kukuchoma na kisu siku moja
AsantE Sana mwamba si hayo Tu aliwahi niambia lazma anifunge Tu na alishafanya majaribio ya kunifunga mara 3 ya tatu ndo alifanikiwa nipeleka NDANI na kunilaza huko sema alijichanganya alifungua kesi ya uwongo iliyohitaji kuonyesha kuthibitisha kwenye mwili wake ambacho aliandka na hakuwa kweli akafuta kesi vinginevyo uwenda ningekuwa jera Kwa vitu vya kutunga tu
 
Kama mtu ndugu zake walikuwa wanamfukuza wewe ulikuwa mwema kuliko ndugu zake??? Pia hayo uliyo vumulia ulivumilia ugonjwa itoshe kusema ulikuwa boya.
 

Hehehehe basi ulipenda kufurahisha macho kwa kutazama umbo la kitusi
 
Mimi ni mume bwege lakini wewe umezidi
 
Huwa sivumiliagi upumbavu.

Akili yangu iko active Sana naishi kwa machale muda wote[emoji1]
 
Good
 
Wanawake ni kama askari polisi, hawana time na watu innocent wao wanavutiwa na watu wenye makosa ili wapambane kuwarudisha kwenye mstari
Inaonekana ulikua innocent sana to the extent akaanza kukudharau hadharani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…