Nilimfadhili huyu mwanamke lakini aliyoyatenda ni ajabu

Mtu kashindwa na ndugu zake, halafu wewe ukawa ukaona ndio utawezana naye!!
 
Nadhani Mjukuu wangu ulisahau ule msemo usemao fadhili mfadhili mbuzi binadamu atakuudhi.
 
avatar yake inaonesha maisha yake kama mr bean
 
Walio yajulia mapenzi ukubwani uwa mna teseka sana
 
Mstari unao tenganisha UPENDO na UJINGA n mwembamba sana najaribu kuwaza ivyo
 
Duh!
Mwamba ulikuwa unaishi na mwanamke mwenye roho mbaya kupitiliza, wachawi hawaoni ndani kwa huyu mwanamke
 
Ndugu mwandishi una Roho ya ajabu sana kwa akili yangu pale alipokuchoma na Bick ndo ingekua mwisho wa mahusiano yenu Coz mpaka amepata ujasiri wa kukuchoma kiasi hko basi hata kuua angeweza kama angeamuaga, Bro kuna makosa ya kufumbia macho lakini kwa hili we ndo ulifosi stori yako ya mahusiano iharibike
 
Aisee pole sana kwa yote ulopitia!
Mshukuru Mungu kwa kukutua zigo la huyo bidada, ila umenishangaza kidogo maana ulipata bahati ya kuishi nae kabla ya kuanza maisha rasmi a ukayaona maunyama yake lakini bado ulipomaliza chuo ukaona ndo huyohuyo wa kufa na kuzikana!
Una roho ngumu kidogo mie tangu lile jaribio la kukutoboa utumbo ningeshamtema siku nyingi!
Mpotezee tu kwa yote ulomsaidia, ila mpe onyo kali asiendelee kukuzushia umeua mwanao kama kweli hukumua!
 
Yaani we chizi kweli, pamoja na matukio yote haya aliyokufanyia bado ukazaa naye....huoni kama ulimkosea mtoto kumpa Mama wa hajabu? Waungwana wanasema nyota njema huonekana asubuhi, huyu demu alishakufanyia vituko kibao eti bado unamuonea huruma na kumpiga miti, ungemwacha alale na mbwa wa mitaani si kila mwanamke anafaa kuliwa na chumvi, wengine ni mikosi tu.
 
MkuU hakuna cha kama ni kweli au si kweli kwenye swala la kifo cha mtoto wangu yaani namuuaje mtoto wangu Mzee. Kwa kosa lipi kwann Mimi nisiamini yeye ndo pengne alimla nyama kichawi maana mkumbuke kuna thread humu IPO khs yeye kuwa na elements za ushirikina.
Why mi nisihisi ye ndo alimuua SA anajaribu kutengeneza mazingira ya kutoshitukiwa maana ILIKUWA ghafla Tu akaanza kuzusha na hapo mtoto alishafariki MDA Sana.
Mtoto alipata shida akiwa Naye nimerudi nakuta ana shida tukaenda hospital akalazwa Naye mpk anafariki anaye yeye hospital.
Daaah mwanangu aliniuma Sana ndo first time kulia msiba mi sikuwa na record hiyo kabisa. Halafu jitu Linasema nilimuua daaah.

Toka tumezka hajawahi kanyaga kaburini Kwa Yule mtoto. Na uwenda hata hakumbuki tulizika wapi.
 
Nawew ni kipofu wa mapenz, kupenda gani uko si uboya huo. Zama zimebadirika broda.. Mapenz ya ivyo yalikuwa zaman. Uyo dem kichwa yake haikuwa sawa kumvumilia ndio maana ata kwao alikuwa hataki kwenda, ata ndugu zake hawamtaki lakin wew unamtaka. Unachomwa na peni tumboni si muuaji uyo..

Bro jitazame
 
Duu! Pole sana mkuu huyo bidada i shetani wa uhakika! Lakin muda huwa unaongea kadri siku zitakavyopita uwongo wake utadhihirika tu, wewe songa mbele na maisha yako, Mungu atamlipa mshahara wake kulingana na matendo yake!
 
Kama YALIVYo yako na katuni ya Hamza uwenda ndo maisha yako.
Mtu unajiita chiz unadhan utakuwa NI mtu wa namna gani.

unafahamu maana chizcom na chizi.

jaribu kuwa kujifunza lugha zilipo toka japan kama

mfano


tafsiri sasa unavojua
 
unafahamu maana chizcom na chizi.

jaribu kuwa kujifunza lugha zilipo toka japan kama

mfano
View attachment 1967802

tafsiri sasa unavojua
Kwahiyo chizcom nayo ni kijapan au ni lugha GANI?
Nakusisitiza tafuta mtaalam WA SAIKOLOJIA upate matibabu haraka Sana na uwenda umeshaanza zungumza peke yako na kucheka mwenyewe jichunguze utagundua Tu.
 
Kwahiyo chizcom nayo ni kijapan au ni lugha GANI?
Nakusisitiza tafuta mtaalam WA SAIKOLOJIA upate matibabu haraka Sana na uwenda umeshaanza zungumza peke yako na kucheka mwenyewe jichunguze utagundua Tu.

kawambie wajapan wewe chori chori alafu tafuta maana yake
 
Sawa churo churo nimekuelewa mwamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…