Nilimfuma Ticha na Padre!!

Nilimfuma Ticha na Padre!!

Mamboz vipi wana JF!!!
Hivi majuzi wakati nipo kwenye graduation ya 4m4 kwenye ukumbi maarufu the Rocky City nilichoka kucheza muziki nikaamua kupumzika ndani ya kibanda kimoja wapo!
Wakati naingia nilish2ka kumkuta TICHA wangu wa English na PADRE wa kanisa takatifu wakinywa na kupigana makiss motomoto!
Nilibaki nimepigwa butwaa nikaitwa kujumuika na kupewa mshiko wa maana ninyamaze kimya!!!
Ingekuwa wewe unge2nza siri??!!

Mtoto wa kiume na umbea ni tofauti kabisaaaaaaa!!!! Kwa umbea wako huo nakuzawadia wimbo uitwao EPUKA JAMBO LISILOKUHUSU ulioimbwa na ddc mlimani park
 
Naogopa kumwaga ushahidi hadharani coz ya huyo Ticha wangu dats y naomba ushauri 2!!

Kuna namna mtu anaandika unajua umri, jinsia yake na fikra zake zilivyo kwa hio hamna haja ya kumshambulia

avatar31580_2.gif
 
Teh, teh, unanikumbusha hadithi ya mfalme ana masikio kama ya punda.
 
Mamboz vipi wana JF!!!
Hivi majuzi wakati nipo kwenye graduation ya 4m4 kwenye ukumbi maarufu the Rocky City nilichoka kucheza muziki nikaamua kupumzika ndani ya kibanda kimoja wapo!
Wakati naingia nilish2ka kumkuta TICHA wangu wa English na PADRE wa kanisa takatifu wakinywa na kupigana makiss motomoto!
Nilibaki nimepigwa butwaa nikaitwa kujumuika na kupewa mshiko wa maana ninyamaze kimya!!!
Ingekuwa wewe unge2nza siri??!!

sasa huo u-engineer uliupata lini wakati ndiyo kwanza unagraduate form four
 
Mapengo yako too much.

Hao wote ni binadamu kama wewe. Usiyashangae mapungufu yao. Na wewe unayo au sio?
 
Back
Top Bottom