Mwisho wa Uzi huu apa🔐🔐Huyo alitaka umwachie hizo Ela, kurudisha kimemuuma ndomana maneno yamemtoka kutaka kuharibu ndoa yenu, mi ndomana siku hizi kumkopesha mgumu kweli, ukidai chako ugomvi tatizo.
Uzi wa kwako mpaka unataka ufungwe, toa maoni yako tusome mawazo yako.Mwisho wa Uzi huu apa[emoji359][emoji359]
Mbona mkaliUzi wa kwako mpaka unataka ufungwe, toa maoni yako tusome mawazo yako.
Usiingilie ugomvi wa wanawake, utateseka.Wazee hakuna binadamu amezaliwa na roho mbaya tunafundishana nimeamini.
Leo ndoa haikaliki kisa tu msaada na huruma yangu iliniponza,
Kiukweli nikimla siku 1
Ila sasa anaharibu nyumbani ela yangu ameshanilipa sasa balaa ni hapo anasema nilimhonga na anatamba kwa mke wangu yeye ni mke mwenza na hatuna mawasiliano hv mtu kama huyu nimfanyaje?
MkuuWazee hakuna binadamu amezaliwa na roho mbaya tunafundishana nimeamini.
Leo ndoa haikaliki kisa tu msaada na huruma yangu iliniponza,
Kiukweli nikimla siku 1
Ila sasa anaharibu nyumbani ela yangu ameshanilipa sasa balaa ni hapo anasema nilimhonga na anatamba kwa mke wangu yeye ni mke mwenza na hatuna mawasiliano hv mtu kama huyu nimfanyaje?