Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado nahitaji kujua maombi ya Yebesi ni nini tafadhali.Yebesi.
NB
Mhariri, JamiiForums, Moderator naomba mhariri kichwa cha habari, badala ya Tabesi, kisomeke Yebesi
Soma post namba 8Bado nahitaji kujua maombi ya Yebesi ni nini tafadhali.
Sawa🤣🤣🤣🤣🙌 Mtajuana
Ni.emdhalilisha nani? Naomba umtajeKwanini umfanyie ivo,mbona vihela vidogodogo sana hivo mpaka kumdhalilisha mtu?
Ujumbe ndio huo🤣🤣🤣Jaman🙌🙌
Ndio uwe unakuja maskani, tummies busara na hekima zakoMercy
E kmp. ! MeMungu ni mwema kila wakati
Asante kwa kunimiss, pass my regards to Gerald. Naomba tukutaneni jumatatu ya pasakaNdio uwe unakuja maskani, tummies busara na hekima zako
Duh... Msala huoNi.emdhalilisha nani? Naomba umtaje
Ungekua Mwanamke wewe, ungekua Maharage ya Mbeya hasa, ungekua unamegwa kila siku na Bwana mpya!Basi mimi nitakuoa wewe