Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #41
Mbona hujaniambiaSikucheki mkuu, nacheka story yako. Ungejua tu navokupenda flower, nakuchekaje sasa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hujaniambiaSikucheki mkuu, nacheka story yako. Ungejua tu navokupenda flower, nakuchekaje sasa..
Ndio sasa wee unawaokota wapi hawa wanaumeNimevurugwa??
Hajaweza Yesu alikuwa ananilindaHuyo mchawi anaonekana amekula tunda kiuchawi, kama aliweza kukuchapa fimbo kwa nini asiweze kukuchapa fimbo ya nyama pia!!!???
Sijui muulize mwenye jamii forum anawaokotea wapi mie nawadakaNdio sasa wee unawaokota wapi hawa wanaume
Atanimalizia kabisaa namuhofia
Mwezi wa pili hadi na leo ila ngojaAisee,weka picha tuone hicho kidonda tumboni
Kwa hiyo ina maana mchawi hajala kiuchawi wala kibinamu wa kawaidaSijui muulize mwenye jamii forum anawaokotea wapi mie nawadaka
Kuna uzi alikuandama balaa....dah mwezi mchanga nadhaniSikucheki mkuu, nacheka story yako. Ungejua tu navokupenda flower, nakuchekaje sasa..
pole sana najua upo single na single mwenzak nipo hapa njoo tuanzishe umoja wetu tumkemee huyo mchawi kwa mikesha ya maombiJamani mwezi wa pili nilitoa uzi kuhusu kutafuta babe, wakaja wengi wazuri. Loh, kumbe ni lichawi! Visa nilivyovipata mpaka niliamua kwenda kwenye maombi.
Akikupigia mkapigana usiku, unamuota kashika fimbo meaning anakuuliza, utanisamehe au hii fimbo inakuishia yote? Nasema nimekusamehe, nisipomsamehe ananichapa haswa au akipiga sijapokea ananiambia, unadhani sijakuona? Nimekuona umevaa hivi na hivi, walahi anakupa ishara fulani unajua alikuwepo.
Mara nyingine hadi na makofi anakupatia na yupo Dodoma mie Arusha, alifanya vitimbi hadi nikaona hapa ni maombi, nikaenda kwa msaada zaidi na mpaka sasa ameniacha.
Humu kuna watu ma Free Mason, nakumbuka alivyonikata tumbo nilipokataa kuonana naye ili tupate watoto, nikamjibu fuata utaratibu, si ndiyo lengo letu? Akadai utaona, we mida ya kumi na mbili kamili jioni nikaona kitu shaaa tumboni, mara uwazi tumboni, weh damu zote chini, kupelekwa hospitali ilikuwa inshu nyingine.
Waliona wakashona ila haiponi, kwenda hospitali nyingine ndiyo hivyo. Nikaona mzee wa ukoo anisaidie kwa hili nikapona.
Ila nilikwenda maombi, sasa hivi humu mie hapana!
[emoji23][emoji23][emoji23] HV kweli au mzaha tuJamani mwezi wa pili nilitoa uzi kuhusu kutafuta babe, wakaja wengi wazuri. Loh, kumbe ni lichawi! Visa nilivyovipata mpaka niliamua kwenda kwenye maombi.
Akikupigia mkapigana usiku, unamuota kashika fimbo meaning anakuuliza, utanisamehe au hii fimbo inakuishia yote? Nasema nimekusamehe, nisipomsamehe ananichapa haswa au akipiga sijapokea ananiambia, unadhani sijakuona? Nimekuona umevaa hivi na hivi, walahi anakupa ishara fulani unajua alikuwepo.
Mara nyingine hadi na makofi anakupatia na yupo Dodoma mie Arusha, alifanya vitimbi hadi nikaona hapa ni maombi, nikaenda kwa msaada zaidi na mpaka sasa ameniacha.
Humu kuna watu ma Free Mason, nakumbuka alivyonikata tumbo nilipokataa kuonana naye ili tupate watoto, nikamjibu fuata utaratibu, si ndiyo lengo letu? Akadai utaona, we mida ya kumi na mbili kamili jioni nikaona kitu shaaa tumboni, mara uwazi tumboni, weh damu zote chini, kupelekwa hospitali ilikuwa inshu nyingine.
Waliona wakashona ila haiponi, kwenda hospitali nyingine ndiyo hivyo. Nikaona mzee wa ukoo anisaidie kwa hili nikapona.
Ila nilikwenda maombi, sasa hivi humu mie hapana!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye mbususu niko tayari hata kuuliwa. Ila kabla sijadedi niichambue kwanza mbuchuchu in kind
Kweli[emoji23][emoji23][emoji23] HV kweli au mzaha tu
Ameshakuwa rafiki yangu huyu🤣🤣!!Kuna uzi alikuandama balaa....dah mwezi mchanga nadhani
Ndio naanza taratibu mkuu, nakupenda sana unique!!Mbona hujaniambia