Nilimpenda lakini karudi na ujauzito usio wangu

Nilimpenda lakini karudi na ujauzito usio wangu

Shida siyo wewe kumpenda, je na yeye anakupenda!? Kama ni ndiyo amekubali vipi kuliwa kizembe hivyo na mimba juu, shtuka babuuu acha kujiliza liza.......ila wanavyuo [emoji23][emoji23]dah
 
Wewe haumpendi .. ila k8nachukusumbuwa ni hiki ulicho mention
"namsaidia fedha ndogo ndogo"
So ukiwazia muda na pesa na jinsi ulivyokuwa unajitoa .. roho inakuuma unashindwa kuamnini kama ulikuwa ukitumika kwakifupi alikuwa anakurubuni na kukusaliti..

Cha kushangaza bado una mawazo ya kuendeleza mapenzi.. vipi unataka mfunge ndoa uwe baba wa kambo..??
 
Back
Top Bottom