Nilimpiga Paka picha lakini aliniangalia kwa macho ya kijasusi

Nilimpiga Paka picha lakini aliniangalia kwa macho ya kijasusi

contask

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2021
Posts
780
Reaction score
1,579
Habari wakuu
Niende moja kwa moja kwenye mada kuu

Kama ilivyo desturi ya mwanadamu ya kufuga wanyama pendwa kama vile paka,mbwa na ndege kama kasuku

Siku za nyuma nilikutana na tukio la ajabu kuhusu paka

Mnamo kipindi flan wakati nipo mkoa X ,nilibahatika kuwa na mahusiano na mdada mzuri sana ,ambae nyumbani kwao alikua akiishi na mama ake na ndugu zake wawili wenye umri chini ya miaka 12

Katika siku ya juma tatu mdada aliamua kunialika nyumbani kwao kwa maana mama ake ni mwalimu na ndugu zake ni wanafunzi kwa mantiki hiyo nyumbani kwao alibaki peke ake

Niliitikiaa wito kwa bashasha,tuliketi na kupiga stori kadhaa,na ilivyo tabia ya nature me na ke wakikaa sehemu moja lazima kutakua na romantic activities


Wakati mambo ya kiromantic yanaendelea nilistuka ghafra kwa kumuona paka huyo akichungulia kupitia dirishani pia nidhamu ya uoga iliinza kunitawala
Na baada ya hapo nilifanikiwa kumpiga picha ,mbaya zaidi wakati naondoka alikua ananingalia kwa macho ya kijasusi,

wakati sina roho ya uoga nilimshika paka huyo na kufanikiwa kumpiga picha ya pili. Baada ya muda flani nikawaza huyu paka atakua jasusi,

Naamini kabisa angekua na mwili kama wa mbwa angenijeruhi

#uzi bila picha sio uzi tena

20240708_142151.jpg
20240819_150812.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20241014_195630_Gallery.jpg
    Screenshot_20241014_195630_Gallery.jpg
    142.4 KB · Views: 10
Mkuu huyo paka hana shida kabisa sio jasusi😁 ni mnyama wa kawaida au kama vipi ungemuuliza mrembo je uwa mnafuga paka hapa Nyumbani, na sio MOSSAD😆
 
Mkuu huyo paka hana shida kabisa sio jasusi😁 ni mnyama wa kawaida au kama vipi ungemuuliza mrembo je uwa mnafuga paka hapa Nyumbani, na sio MOSSAD😆
Ni paka wao wanamfuga kaka🤣
 
Habari wakuu
Niende moja kwa moja kwenye mada kuu

Kama ilivyo desturi ya mwanadamu ya kufuga wanyama pendwa kama vile paka,mbwa na ndege kama kasuku

Siku za nyuma nilikutana na tukio la ajabu kuhusu paka

Mnamo kipindi flan wakati nipo mkoa X ,nilibahatika kuwa na mahusiano na mdada mzuri sana ,ambae nyumbani kwao alikua akiishi na mama ake na ndugu zake wawili wenye umri chini ya miaka 12

Katika siku ya juma tatu mdada aliamua kunialika nyumbani kwao kwa maana mama ake ni mwalimu na ndugu zake ni wanafunzi kwa mantiki hiyo nyumbani kwao alibaki peke ake

Niliitikiaa wito kwa bashasha,tuliketi na kupiga stori kadhaa,na ilivyo tabia ya nature me na ke wakikaa sehemu moja lazima kutakua na romantic activities

Wakati mambo ya kiromantic yanaendelea nilistuka ghafra kwa kumuona paka huyo akichungulia kupitia dirishani pia nidhamu ya uoga iliinza kunitawala

Na baada ya hapo nilifanikiwa kumpiga picha ,mbaya zaidi wakati naondoka alikua ananingalia kwa macho ya kijasusi,

wakti sina roho ya uoga nilimshika paka huyo na kufanikiwa kumpiga picha ya pili

Baada ya muda flani nikawaza huyu paka atakua jasusi,

Naamini kabisa angekua na mwili kama wa mbwa angenijeruhi

#uzi bila picha sio uzi tena
Kaka mtu anamlinda dada yake
 
Kwanin atuchungulie au ndo maeneo ya kujidai?
Paka ni mnyama mchunguzi au tuseme anasoma hisia zetu, mfano anaweza kujua mtu katili ambaye anampiga piga , kila akimuona lazima amkimbie, na mtu mwema lazima aje kwako anakuja kulala karibu yako
 
Back
Top Bottom