Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Oct 14, 2024 #21 Namfahamu huyo nyau. Ni Agent wa mosad. Anawatafuta wa Iran.
contask JF-Expert Member Joined Jan 3, 2021 Posts 780 Reaction score 1,579 Oct 14, 2024 Thread starter #22 Hata kama ni tabia ya paka asingetakiwa kua na cocentration kubwa vile pia na sura ya hasira kama hajapendezwa na ugeni wangu
Hata kama ni tabia ya paka asingetakiwa kua na cocentration kubwa vile pia na sura ya hasira kama hajapendezwa na ugeni wangu
contask JF-Expert Member Joined Jan 3, 2021 Posts 780 Reaction score 1,579 Oct 14, 2024 Thread starter #23 Stroke said: Namfahamu huyo nyau. Ni Agent wa mosad. Anawatafuta wa Iran. Click to expand... Wairan itakua wamekimbilia Tanzania
Stroke said: Namfahamu huyo nyau. Ni Agent wa mosad. Anawatafuta wa Iran. Click to expand... Wairan itakua wamekimbilia Tanzania
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Oct 14, 2024 #24 contask said: Wairan itakua wamekimbilia Tanzania Click to expand... Kama umewaalika kaa mguu sawa.
contask JF-Expert Member Joined Jan 3, 2021 Posts 780 Reaction score 1,579 Oct 14, 2024 Thread starter #25 Stroke said: Kama umewaalika kaa mguu sawa. Click to expand... Hapana mkuu sijawaalika
Mkanganyiko kukanganya JF-Expert Member Joined Jun 26, 2022 Posts 1,204 Reaction score 5,053 Oct 14, 2024 #26 Paka banah, usafi yeye, uchawi yeye dharau yeye, wizi yeye havijatosha!! Now anajihusisha na ujasusiš
Paka banah, usafi yeye, uchawi yeye dharau yeye, wizi yeye havijatosha!! Now anajihusisha na ujasusiš
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Oct 14, 2024 #27 contask said: Hapana mkuu sijawaalika Click to expand... Basi mkuu. Kama hakuna gaidi hapo kwako umesalimika.
contask said: Hapana mkuu sijawaalika Click to expand... Basi mkuu. Kama hakuna gaidi hapo kwako umesalimika.
contask JF-Expert Member Joined Jan 3, 2021 Posts 780 Reaction score 1,579 Oct 14, 2024 Thread starter #28 Mkanganyiko kukanganya said: Paka banah, usafi yeye, uchawi yeye dharau yeye havijatosha!! Now anajihusisha na ujasusiš Click to expand... Yupo kote kote
Mkanganyiko kukanganya said: Paka banah, usafi yeye, uchawi yeye dharau yeye havijatosha!! Now anajihusisha na ujasusiš Click to expand... Yupo kote kote
contask JF-Expert Member Joined Jan 3, 2021 Posts 780 Reaction score 1,579 Oct 14, 2024 Thread starter #29 Stroke said: Basi mkuu. Kama hakuna gaidi hapo kwako umesalimika. Click to expand... Shukrani mkuu
contask JF-Expert Member Joined Jan 3, 2021 Posts 780 Reaction score 1,579 Oct 14, 2024 Thread starter #30 Msumb said: Paka ni mnyama mchunguzi au tuseme anasoma hisia zetu, mfano anaweza kujua mtu katili ambaye anampiga piga , kila akimuona lazima amkimbie, na mtu mwema lazima aje kwako anakuja kulala karibu yako Click to expand... kwahiyo alikua anatuchunguza
Msumb said: Paka ni mnyama mchunguzi au tuseme anasoma hisia zetu, mfano anaweza kujua mtu katili ambaye anampiga piga , kila akimuona lazima amkimbie, na mtu mwema lazima aje kwako anakuja kulala karibu yako Click to expand... kwahiyo alikua anatuchunguza
contask JF-Expert Member Joined Jan 3, 2021 Posts 780 Reaction score 1,579 Oct 14, 2024 Thread starter #31 Shadow7 said: Hatari sana Click to expand... Balaa mkuu