#COVID19 Nilimpinga Hayati Magufuli kwa mengi, ila kwenye COVID-19 labda alikuwa sahihi

#COVID19 Nilimpinga Hayati Magufuli kwa mengi, ila kwenye COVID-19 labda alikuwa sahihi

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Binafsi sikuwa mfuasi wa sera, mitizamo na style za kuongoza za Rais Magufuli. Nilimpinga waziwazi na sikuacha kutoa nyongo pale nilipoona anafanya mambo ambayo siyo, hasa yale ya kutumia madaraka yake vibaya na kuvunja sheria alizoapa kuzilinda.

Lakini lilipokuja suala ya ugonjwa wa COVID-19, kuna misimamo aliichukua ambayo inawezekana aliichukua kujilinda yeye na utawala wake usianguke ila upande wa pili wa shilingi, inawezekana baadhi ya misimamo ile ilikuwa sahihi kwa maslahi mapana ya nchi.

Hivi sasa, mataifa ya Magharibi yanamwaga mapesa ya misaada ya kutisha hapa Tanzania. Hii yote imekuja baada ya sisi kukubali kubadilisha misimamo na mitazamo yetu kuhusu ugonjwa wa COVID-19.

Naona kama kwa serikali ya Rais Samia kufanya kilichofanya, kuna mambo kama nchi tumeyapoteza na tunaweza tusije kuyapata tena.

Kwenye maeneo mengine nadhani Magufuli alikuwa anaiharibu nchi hata kama alikuwa ana nia nzuri. Huo utaendelea kubaki kuwa msimamo wangu.
 
Mkuu covid 19 ipo na inaua watu kwa mamia, acha politics kwenye issue za science, pls have a jab kama bado hujapata na usisahau kuvaa mask, osha mikono yako kwa sabuni in a running water au sanitize, President JPM alikua anataka kuangamiza taifa kwa covid, kuhusu fedha hata utawala wa President Magufuli ulitengeneza pesa nyingi mno kwenye PCR certificates (@100usd)na mpakaleo hutujaambiwa kiasi gani kilikusanywa na pia why aliweka kiwango kikubwa mno wakati nchi haina corona?
 
Hata Mimi. nilikuwa namuunga mkono kwa swala hili moja tu la Covid 19. Ingawa tarehe 17/3 nilifurahi
 
Nilipishana nae kwenye baadhi ya mambo.
Magufuli alifanana Sana ki mtazamo na mimi.
Ni mwanaume alie yaishi maono yangu.
Hata nisipo kuja kua kiongozi mashuhuri....kuna mwanaume aliyaishi maono yangu.
Binafsi hata Sehemu nayo fanyia Kazi naitwa MAGUFULI.
Hii itakua ni genetically...maana tunatoka ukanda mmoja na amini tuna vinasaba ki matendo na kimitazamo.

R.i.p Mwamba
 
Uzuri COVID 19 haikopeshi. Magufuli aliipinga na akakataa kuchukua tahadhari na wapambe wake akina Kijazi.

Dr Mpango amshukuru Mungu wake, maana alikuwa ana kwenda naye
 
Nilipishana nae kwenye baadhi ya mambo...
Magufuli alifanana Sana ki mtazamo na mimi......
Ni mwanaume alie yaishi maono yangu.....
Hata nisipo kuja kua kiongozi mashuhuri....kuna mwanaume aliyaishi maono yangu.......
Binafsi hata Sehemu nayo fanyia Kazi naitwa MAGUFULI.....
Hii itakua ni genetically...maana tunatoka ukanda mmoja na amini tuna vinasaba ki matendo na kimitazamo.......

R.i.p Mwamba
Kweli ukisikia kuwa Watanzania ni watu wapumbavu basi mijitu kama wewe am 4 real ndiyo mnatuponzesha.

Yaani unasikia sifa kuitwa Magufuli?
 
Mkuu covid 19 ipo na inaua watu kwa mamia,acha politics kwenye issue za science,pls have a jab kama bado hujapata na usisahau kuvaa mask,osha mikono yako kwa sabuni in a running water au sanitize,President JPM alikua anataka kuangamiza taifa kwa covid,kuhusu fedha hata utawala wa President Magufuri ulitengeneza pesa nyingi mno kwenye PCR certificates (@100usd)na mpakaleo hutujaambiwa kiasi gani kilikusanywa na pia why aliweka kiwango kikubwa mno wakati nchi haina corona?
20211208122000_instagram_17.jpg

Mwenzako huyo hapo juu dalali wa Corona ajabu havai hizo mask zako
 
Uzuri COVID 19 haikopeshi. Magufuli aliipinga na akakataa kuchukua tahadhari na wapambe wake akina Kijazi.

Dr Mpango amshukuru Mungu wake, maana alikuwa ana kwenda naye
Acha ushamba wewe!.

Nani kakudanganya Magufuri alikufa kwa covid?.
Hivi unaichukuliaje covid lakini?.

Yaani covid ikamuue msaidizi wa ofisini alafu imuache mtu unayelala naye na watoto wako!.

Yaani covid imuue mpita njia ambaye ulimpungia mkono alafu imuache anayekubebea begi na mlinzi wako?.

Wewe ndiye wale wanaodaka mambo yasiyo hata na utafiti na kukimbilia kuanzisha mada!.

Mmeambiwa mvae barakao, kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka, kukaa umbali wa mita moja, aya kwenye mazishi na kuaga mwili (unaosema una covid) mlijazana kama siafu kuanzia Dar, Zanzibar, Mwanza mpaka Chato after there what happens?.
 
Kweli ukisikia kuwa Watanzal[/USER] ndiyo mnatuponzesha.

Yaani unasikia siga kuitwa Magufuli?? Can't imagine kukubali kufananishwa na murderer, dictator, mwizi na MWONGO mkubwa
20211208122000_instagram_17.jpg


Wasio waongo na wanaopambana kwa dhati na Covid ni huyo hapo juu ana barakoa km zote yaani
 
Kila alieidindia Corona alienda na maji.

Huyo magufuli aliwajaza ujinga mkaenda na maji.
 
Kweli ukisikia kuwa Watanzania ni watu wapumbavu basi mijitu kama wewe am 4 real ndiyo mnatuponzesha.

Yaani unasikia siga kuitwa Magufuli?? Can't imagine kukubali kufananishwa na murderer, dictator, mwizi na MWONGO mkubwa
Naweka wazi mimi ni aina ya watu kama aldof hitrer....

Namnukuu chancellor Otto von Bismarck "The great questions of the day will not be settled by means of speeches and majority decisions but by iron and blood."

Mkuu kubali kataa Magufuli alikua na Mazuri na mabaya yake......

Naamin magufuli ni binadamu Tena alie kulia maisha ya chini kabisa....

Wewe tukana tuu mkuu....mtu kama wew enzi za Regime unatafutwa mpk nyuma ya keyboard unapewa maumivu......

Lazima tukubaliane hii dunia tunayo iona haijajengwa na POOR MIND AU AVERAGE MIND.......bali ni GREAT MIND

Watu wa aina yangu Huwa tuna amin tupo sahihi kwenye KILA kitu....
Huwa hatutaki kupingwa...Huwa hatupendi wajuaji....

Kuna mambo MAGUFULI alikosea nakubaliana na wengi na hata mimi nilimpinga....

Ila niweke wazi MAGUFULI na mimi tunafanana Sana kitabia.... Hadi ushamba...hata watu huniambia....
 
Acha ushamba wewe!.

Nani kakudanganya Magufuri alikufa kwa covid?.
Hivi unaichukuliaje covid lakini?.

Yaani covid ikamuue msaidizi wa ofisini alafu imuache mtu unayelala naye na watoto wako!.

Yaani covid imuue mpita njia ambaye ulimpungia mkono alafu imuache anayekubebea begi na mlinzi wako?.

Wewe ndiye wale wanaodaka mambo yasiyo hata na utafiti na kukimbilia kuanzisha mada!.

Mmeambiwa mvae barakao, kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka, kukaa umbali wa mita moja, aya kwenye mazishi na kuaga mwili (unaosema una covid) mlijazana kama siafu kuanzia Dar, Zanzibar, Mwanza mpaka Chato after there what happens?.

Aliambiwa pambana na corona akasema ooh hii ni vita ya kiuchumi ya mabeberu,mwishowe Covid ikafanya kazi yake.
 
Acha ushamba wewe!.

Nani kakudanganya Magufuri alikufa kwa covid?.
Hivi unaichukuliaje covid lakini?.

Yaani covid ikamuue msaidizi wa ofisini alafu imuache mtu unayelala naye na watoto wako!.

Yaani covid imuue mpita njia ambaye ulimpungia mkono alafu imuache anayekubebea begi na mlinzi wako?.

Wewe ndiye wale wanaodaka mambo yasiyo hata na utafiti na kukimbilia kuanzisha mada!.

Mmeambiwa mvae barakao, kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka, kukaa umbali wa mita moja, aya kwenye mazishi na kuaga mwili (unaosema una covid) mlijazana kama siafu kuanzia Dar, Zanzibar, Mwanza mpaka Chato after there what happens?.
Baelezee
 
Mkuu covid 19 ipo na inaua watu kwa mamia,acha politics kwenye issue za science,pls have a jab kama bado hujapata na usisahau kuvaa mask,osha mikono yako kwa sabuni in a running water au sanitize,President JPM alikua anataka kuangamiza taifa kwa covid,kuhusu fedha hata utawala wa President Magufuri ulitengeneza pesa nyingi mno kwenye PCR certificates (@100usd)na mpakaleo hutujaambiwa kiasi gani kilikusanywa na pia why aliweka kiwango kikubwa mno wakati nchi haina corona?
Imemuua nani
 
Binafsi sikuwa mfuasi wa sera, mitizamo na style za kuongoza za Rais Magufuli. Nilimpinga waziwazi na sikuacha kutoa nyongo pale nilipoona anafanya mambo ambayo siyo, hasa yale ya kutumia madaraka yake vibaya na kuvunja sheria alizoapa kuzilinda.

Lakini lilipokuja suala ya ugonjwa wa COVID-19, kuna misimamo aliichukua ambayo inawezekana aliichukua kujilinda yeye na utawala wake usianguke ila upande wa pili wa shilingi, inawezekana baadhi ya misimamo ile ilikuwa sahihi kwa maslahi mapana ya nchi.

Hivi sasa, mataifa ya Magharibi yanamwaga mapesa ya misaada ya kutisha hapa Tanzania. Hii yote imekuja baada ya sisi kukubali kubadilisha misimamo na mitazamo yetu kuhusu ugonjwa wa COVID-19.

Naona kama kwa serikali ya Rais Samia kufanya kilichofanya, kuna mambo kama nchi tumeyapoteza na tunaweza tusije kuyapata tena.

Kwenye maeneo mengine nadhani Magufuli alikuwa anaiharibu nchi hata kama alikuwa ana nina nzuri. Huo utaendelea kubaki kuwa msimamo wangu.
Kila anayempinga Dkt Magufuli ana jilaani mwenyewe kwa sababu Dkt alikuwa mkweli toka moyoni mwake, na aliipenda Tanzania kwa dhati. Ni mtu muovu tu atabakiza maneno eti alikuwa na mapungufu.
 
Back
Top Bottom