#COVID19 Nilimpinga Hayati Magufuli kwa mengi, ila kwenye COVID-19 labda alikuwa sahihi

Wapi huko ulipo wewe ambapo Covid inaua watu kwa mamia?
 
Kadi yako ulichukulia tawi gani kati ya Lumumba au Kisiwandui?
 
Peleka upumnafu wako huo kwenye familia yako, maskini mkubwa unaringia ukatili.
 
Peleka upumnafu wako huo kwenye familia yako, maskini mkubwa unaringia ukatili.
Unaweza kuthibitisha.......hayo
mkuu itoshe kusema it's over between us....

Tukisimama mimi na wewe kuonyeshana Achievement na mafanikio ya maisha binafsi.....Utakacho nishinda ni UJINGA TU

Pengine hato tokea kama MAGUFULI lakini jamaa alituonyesha show..........
 
Pengine hato tokea kama MAGUFULI lakini jamaa alituonyesha show..........
Ni kweli hatuwezi kuruhusu Mrundi mwingine aje atuharibie Nchi yetu.

It is totally INSANE kumshabikia mtu anaiba kura zote za Serikali za Mitaa mwaka 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020 na anaweka wabunge anaowataka yeye. Bado misukule yake kama am 4 real inatujazia pumba humu
 
Kwenye suala la covid musiwe mnamhusisha magufuli, angelikuwepo unadhani asingeruhusu chanjo!!! Wabongo bwana.
 
We all can only be what are ,no more no less.

And our dear departed was a tyrant from whichever angle you choose to view him.

R I P Jack Kennedy
 
Kama unauwezo mdogo ni ngumu sana kumkubali Mwamba shujaa wa Africa Mwanamageuzi lahiri daktali Mh. JPM. who living longer and rebirth million of millions of Tanzania,Africa and world in general
 
Mkuu hayo KILA mpenda democracia hakuyapenda.......hata mimi sikuyapenda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…