Nilimsikia Inspekta Haroun akihojiwa ITV Jumapili iliyopita Usiku, aliongea kwa akili na alionyesha ukomavu

Nilimsikia Inspekta Haroun akihojiwa ITV Jumapili iliyopita Usiku, aliongea kwa akili na alionyesha ukomavu

TensorFlow

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2020
Posts
993
Reaction score
1,286
Nilimsikia Inspekta Haroun akihojiwa ITV Jumapili iliyopita usiku, aliongea kwa akili na alionyesha ukomavu. Tofauti na wasanii wengine niliowahi kuwasikia, hakuwa analalamika au kuponda wenzake, na majibu yake yalionyesha kuwa ni mtu ambaye kichwa chake kipo safi.

Nafurahia ujio wake, mimi sisikilizi kabisa hii miziki ya hawa mnaowaita kizazi kipya, wavaa hereni, pedals, skin tights na wakata viuno.
 
Hakuna cha ujio wake. Huyo yupo kwenye kapu la zilipendwa. They will never come back
 
Nilimsikia Inspekta Haroun akihojiwa ITV Jumapili iliyopita usiku, aliongea kwa akili na alionyesha ukomavu. Tofauti na wasanii wengine niliowahi kuwasikia, hakuwa analalamika au kuponda wenzake, na majibu yake yalionyesha kuwa ni mtu ambaye kichwa chake kipo safi.

Nafurahia ujio wake, mimi sisikilizi kabisa hii miziki ya hawa mnaowaita kizazi kipya, wavaa hereni, pedals, skin tights na wakata viuno.
Inspekta kama Inspecta
 
Mzee wa Bundasliga... hili goma hadi kesho huwa nalisikiliza!!
 
Back
Top Bottom